• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO IMEFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI MONDULI

Posted on: February 5th, 2024

Kamati ya fedha na mipango Halmashauri ya wilaya ya Monduli imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo katika kata  sita (6) Wilayani Monduli tarehe 29/1/2024.

Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya monduli Ndug.Isack Copriano , Kwakuanza na kutembelea ujenzi wa matundu ya vyoo shule ya msingi Sinoni ametoa maelekezo kwa wajumbe na Afisa Elimu Msingi Bi.Natang'aduak Mollel kusimamia kusimamia  vizuri fedha ambazo serikali imepeleka kwaajili ya ujenzi huo kukamilika kwani kwa kiwango cha fedha kilichotumika na sehemu iliyobakia kukamilisha ujenzi avilandani na salio la pesa lililobakia.

"Wakati mwingine tubane na tufinye pesa za serikali kwa kutumia vizuri na kwakuona ile pesa ni ya kwako ili kueza kumalizia ujenzi wa matundu ya vyoo"amesema Isack.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti wa kamati ya fedha, atoa maelekezo kwa shule ya sekondari Mswakini avunja kamati ya ujenzi na kuagiza kamati nyingine kuudwa ili kueza kukamilisha ujenzi  wa bweni la wanafunzi.

Akizungumza na wajumbe wa kamati ya fedha  amesema ni milioni 138,205,154 Tsh.Fedha ambazo mhe.Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan ameleta Mswakini Sekondari kwa ajili ya kuwajengea mabweni haya hivyo tusicheze na fedha hizo kwa matumizi yasiyo stahiki kama vile walivyofanya kwenye ununuzi wa kokoto za  kuanzia kujenga kwani  sio matumizi mazuri  amemsisitiza afisa Elimu Sekondari kusimamia kwa umakini.

Vivyo hivyo,kata ya Mingungani kwenye ziara yake  ametoa maelekezo ya marekebisho ya ujenzi  ya nyumba ya walimu 2 in 1 waakikishe waalimu wanahamia mara baada ya marekebisho kufanyika kama vile kupiga msasa  madirisha yote.ndipo waahamie.

Hitimisho kamati ya fedha uongozi na mipango wamepongeza kata ya Selela,Shule ya Sekondari Oltinga kwa ujenzi wa madarasa mawili pamoja na  ujenzi wa matundu ya vyoo.nakuaidi kwamba zitatafutwa fedha kwaajili ya kumalizia ujenzi wa mabweni.

Imeandaliwa na:

Kitengo cha Mawasiliano Serekalini

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MODFA YALENGA MBALI-MONDULI

    March 20, 2025
  • MHE.FREDRICK LOWASSA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MONDULI

    March 19, 2025
  • MILIONI 240 ZANUFAISHA KIJIJI CHA IRIMORIJO KWA MRADI WA MAJI

    March 18, 2025
  • MAFUNZO YA ELIMU YA MLIPA KODI KWA WAFANYA BIASHARA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO NA MADEREVA

    March 18, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli