• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

utalii

AINA ZA UTALII KATIKA WILAYA YA MONDULI

  • Utalii wa kupanda Milima (Mountain Climbing)
  •  Unapofika katika wilaya ya Monduli utapokelewa kwa taswira nzuri ya milima ya Monduli ionekanayo ikizungukwa na misitu ya kupendeza ni moja ya kivutio kikubwa kwa wageni wanaopenda kupanda milima. Upandaji wa milima hufanyika kwa kufika ofisi za Maliasili zilizopo Monduli baada ya kulipia kiingilio ambacho ni bei nafuu kwa Mtanzania atalipia Tsh 1500 ikiwa ni kiingilio na atapewa askari ambaye ni muongoza wageni ataambatana nae katika safari ya kupanda mlima. Kwa wageni wanaopenda kulala ndani ya misitu wataongeza Tsh 1500 ada ya malazi ndani ya hifadhi ya msitu iliyopo kwenye milima. Wageni wanatakiwa kuja na mahema yao, chakula na mahitaji mengine kama vinywaji. Wabeba mizigo wanaweza kupatikana ndani ya wilaya na kufanya makubaliano kulingana na mizigo itakayobebwa kupelekwa mlimani. Pia matembezi ya kawaida yanaweza kufanyika kuelekea katika maporomoko ya maji yaliyopo ndani ya hifadhi ya Milima ya Monduli.

  • Utalii wa Picha (Photographic Tourism)
  • Utalii wa aina hii hufanyika katika mapori yanayopatikana ndani ya wilaya ya Monduli na kwa sasa tunajivunia kwa kuwepo na Hifadhi ya Jamii ijulikanayo kwa jina la Randilen WMA. Watalii wanapata fursa ya kujionea wanyamapori kama Twiga, pundamilia, tembo, nyati, swala tomi, swala granti, ngiri, simba, kongoni, kuro pamoja na ndege wa kuvutia kama mbuni, tai, firigogo, chiriku na mandhari ya kuvutia iliyopo katika hifadhi  hii inaonekana ukiwa katika view point ya mlima sandilen pamoja na picnic site iliyopo ndani ya eneo la Randilen WMA. Sehemu za kulala zipo kwa wageni wanaotembelea mbuga hii kuna lodges kama Tarangire Tree Tops, Nimali campsite, Ecoscience lodge ambazo zipo ndani ya WMA watalii wanapata malazi kwa bei nafuu na kufurahia huduma zitolewazo katika hotel hizo.kwa maelezo zaidi bofya hapa .fursa za uwekezaji monduli.pdf

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI July 04, 2022
  • NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • NAFASI ZA KAZI ZA ANWANI ZA MAKAZI February 22, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA KAZI YA ANUWANI ZA MAKAZI March 24, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC NASARI ASHAURI WAZAZI KUBORESHA MALEZI KWA WATOTO

    March 24, 2023
  • MKUU WA WILAYA ALISHAURI JESHI LA AKIBA KUACHA KUCHAGUA KAZI

    March 22, 2023
  • SIKU YA MISITU DUNIANI

    March 21, 2023
  • MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU KATIKA UWANJA WA BARAFU,MTO WA MBU

    June 15, 2022
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

WANAWAKE WANUFAIKA NA MAMILIONI YA FEDHA KUTOKA HALMASHAURI- MONDULI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli