• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAAFISA BAJETI WAPEWA MAFUNZO YA UANDAAJI NA BAJETI - MONDULI

Posted on: September 30th, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Monduli kupitia Divisheni ya Mipango na Uratibu, leo Septemba 30, 2025 katika Ukumbi mdogo wa halmashauri hiyo imeendesha na kuratibu Mafunzo ya Mipango na bajeti kwa maafisa bajeti wa Divisheni na vitengo  ikiwa ni maandalizi ya kuwa na uelewa wa pamoja juu ya masuala ya upangaji na utekelezaji wa Bajeti.Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Bi. Happiness Raphael Laizer, Ndg. Abraham Msofe ambaye ni Afisa Mipango wa Halmashauri hiyo amewataka Maafisa Bajeti hao kuwa wasikivu na makini kwa muda wote wa mafunzo ili waweze kupata uelewa utakaowasaidia kufanya vizuri mara shughuli hiyo ya Mipango na bajeti itakapoanza. 



Kwa upande wake Ndg.Danford Majogo Afisa Utamaduni Halmashauri ya Wilaya ya Monduli amesema kuwa,  amefurahishwa na mafunzo hayo aliyoyapata yeye kama ajira mpya ambaye hakuwa na uelewa wowote juu ya zoezi la kuandaa Mipango na Bajeti sasa anaweza kufanya hivyo kwa kushirikiana na Mkuu wake wa Kitengo kwa Maendeleo ya Halmashauri ya Wilaya hiyo.





Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAAFISA BAJETI WAPEWA MAFUNZO YA UANDAAJI NA BAJETI - MONDULI

    September 30, 2024
  • MAKOMBE NA MEDALI VYAKABIDHIWA KWA MKURUGENZI MTENDAJI - MONDULI

    September 26, 2025
  • MONDULI YAADHIMISHA SIKU YA WAZEE DUNIANI

    September 25, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGA MAFUNZO YA AWALI JKT KUNDI LA LAZIMA LA MUJIBU WA SHERIA

    September 24, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli