• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC NASARI ASHAURI WAZAZI KUBORESHA MALEZI KWA WATOTO

Posted on: March 24th, 2023

Na Mwandishi wetu

 Obed Emmanuel. 

Jamii imetakiwa kuwalea watoto katika malezi bora kwa kuwapatia elimu ili kuunga mkono juhudi za Mhe Raisa wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe Samia suluhu Hassan za kuiendeleza sekta ya elimu nchini.

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe Joshua Nasary katika kikao kazi cha kutadhmini na kumpongeza Juhudi za wadau wa elimu kwa mwaka 2022 kilicho fanyika katika ukumbi wa chuo cha maendeleo ya Jamii CDTI monduli.

Mhe. Nasari amesema katika karne hii ya 21 ni ajabu sana kuona au kusikia mzazi anamuodhesha binti badala ya kumpeleka shule katika kipindi hiki ambacho Rais ameruhusu elimu bure.

Aidha amesema ni ni jukumu la wazazi pamoja na wadau hao wa elimu kushirikiana kulea Watoto katika mazingira bora na kuwapatia elimu  itakayo wasaidia katika maisha ya kila siku.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli Mhe Isack Copriano pia amewapongeza walimu wakuu wote wa wilaya ya Monduli kwa kuendelea kufanya kazi kwa ueledi na umakini ili kuendelea kutokomeza daraja sifuri katika wilaya nzima ya  Monduli.

Nae Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli Mhe. Thomas Meiyan Amesema ili kufanikisha ndoto za wilaya na katika elimu ni lazima wazazi/walezi washirikiane katika malezi bora ya watoto wawepo washulenj au nyumbani.

Awali Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Monduli Bi Magreth Muro Akisoma taarifa kwa mgeni rasmi amesema kwa mwaka 2022 wamefanikiwa kuongeza ufaulu kwa shule za sekondari na wanatajia kufikia 99% kwa mwaka 2023.

Wadau wa elimu, walimu pamoja na wanafunzi waliofanya vizuri katika mitiani  kwa mwaka 2022 wamepokea zawadi za pongezi ikiwa ni sehemu ya kuwatia motisha ilinwaendelee kufanya vizuri zaidi.

Ofisi ya Tehama

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI July 04, 2022
  • NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • NAFASI ZA KAZI ZA ANWANI ZA MAKAZI February 22, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA KAZI YA ANUWANI ZA MAKAZI March 24, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAWEKEZAJI WATAKIWA KUJENGA MAHUSIANO MEMA NA JAMII ILI KUEPUKA MIGOGORO MONDULI

    June 03, 2023
  • HILI NI LANGO LA UTALII, KUWENI WAKARIMU.

    May 16, 2023
  • KARIBU MONDULI DKT MPANGO

    May 16, 2023
  • KAMATI YA SIASA WILAYA IMEKAGUA MIRADI

    May 02, 2023
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

WANAWAKE WANUFAIKA NA MAMILIONI YA FEDHA KUTOKA HALMASHAURI- MONDULI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli