• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MARUFUKU WAKANDARASI KUCHEZA NA FEDHA ZINAZOTOLEWA NA WIZARA YA MAJI.

Posted on: June 16th, 2024

Mhe.Naibu Waziri wa maji

Injinia Kondo Andrea mathew Ameyasema hayo kwenye ziara yake ya kutembelea miradi ya maji Wilayani Monduli katika kijiji cha Emairete,kitongoji cha Emorijo Leo tarehe 15.6.2024.


Ambapo Naibu waziri wa maji,amemsimamisha mkandarasi wa kampuni ya LUKOLE kuendelea na kazi ya ujenzi wa bwawa la Soimineni lililoko katika kijiji cha Emairete kitongoji cha Emorijo kwa kuwa na hali ya uzembe kazini na kutofanya kazi ndani mkataba aliopewa,ambapo mkataba ulianza kufanya kazi tangu mwenzi juni 2023 mpaka kufikia Leo tarehe 15.6.2024 kazi hiyo kufikia asilimia 12% pamoja nakuongezewa muda wakufanya kazi hiyo na kupewa fedha kiasi cha shilingi milioni 23.7 kama kianzio cha kufanya kazi hiyo.


Hali ambayo imeonyeshwa kutokuridhika na utendaji wa kazi wa mkandarasi huyo baada ya mhe.Naibu waziri kumuuliza maswali ya papo kwa hapo nakushidwa kutoa majibu kamili kwakuonyesha hali ya kusuasua katika majibu yake.


"Nimarufuku mkandarasi ambaye ameaniwa nakupewa dhamana kubwa yakufanya kazi kuchezea pesa za serikali kwa namna yeyote ile "amesema Naibu waziri mhe.Kondo.


Bwawa hilo la Soimineni lililopo kijiji cha Emairete linalo gharimu Gharama ya shilingi bilioni 1.6 ambapo vijiji jirani vitaenda kunufaika na mradi huo na kuondokana na adha ya shida ya kufwata maji kwa umbali mrefu.


Naibu waziri wa maji ameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa jitahada zinazofanyika kwakuleta miradi mikubwa ya maji wilayani Monduli.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli