• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MONDULI KUPATA MGAO WA SHILINGI MILION 240 ZA KUJENGA VITUO SHIKIZI VYA SHULE ZA MSINGI SITA NA MADARASA 12.

Posted on: October 13th, 2021

Monduli ni miongoni mwa Halmashauri nufaika na mpango wa serikali wa ujenzi wa vyumba vya madarasa  3,000 katika vituo shikizi vya shule za Msingi, vituo hivyo shikizi ni maeneo ya yanayo tumika kufundishia wanafunzi wa Elimu ya  Awali hadi darasa la tatu wanao kaa mbali na shule Mama.

Katika mpango huo Monduli imetajwa kujengewa jumla ya Vituo shikizi sita ambavyo vitakua na Jumla ya Madarasa 12 ambayo kila moja itagharimu shilingi Milioni 20 na kufanya jumla ya gharama ya ujenzi kuwa milioni 240.

Lengo la vituo hivyo ni kuwapunguzia umbali wanafunzi wa shule za msingi wanaotembea mwendo  mrefu kufuata huduma ya elimu. Mpaka sasa kuna jumla ya vituo shikizi 1,155 katika halmashauri 148 hapa nchini. Aidha imebainika kwamba Halmashauri 36 ambazo idadi kubwa ya Halmashauri hizo zipo katika maeneo ya Majiji, Manispaa na Miji hazina havina vituo shikizi vya shule.

kupitia mpango huu, Serikali itajenga vyumba vya madarasa 3,000 katika vituo shikizi 970 ambapo jumla ya shilingi bilioni 60 zitatumika.Ujenzi huo utawezesha wanafunzi 135,000 kupata vymba vya madarasa bora na ukamilishaji wa ujenzi huo utakwenda sambamba na  ununuzi wa madawati 45,000ambayo yatatumika na wanafunzi wote.

Jumla ya Halmashauri 143 zitafaidika na mpango huu katika mikoa yote 26 ya Tanzania bara. Mgawanyo wa vymba vya madarasa katika Halmashauri umezingatia vigezo vya; idadi ya madarasa iliyopo.

 Imeandikwa na Kuchapishwa na

Obed Emmanuel

Ofisi ya TEHAMA Halmashauri ya Monduli

#Tamisemi

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI July 04, 2022
  • NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • NAFASI ZA KAZI ZA ANWANI ZA MAKAZI February 22, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA KAZI YA ANUWANI ZA MAKAZI March 24, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU KATIKA UWANJA WA BARAFU,MTO WA MBU

    June 15, 2022
  • MONDULI KUPATA MGAO WA SHILINGI MILION 240 ZA KUJENGA VITUO SHIKIZI VYA SHULE ZA MSINGI SITA NA MADARASA 12.

    October 13, 2021
  • MONDULI KUPATA MGAO WA SHILINGI MILIONI 720 KWA AJILI YA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI

    October 13, 2021
  • VIONGOZI MONDULI WAAGIZWA KUHAMASISHA NA KUKUSANYA MICHANGO KWA WANANCHI KWAJILI YA UKARABATI/UJENZI WA MIUNDO MBINU YA SHULE ZA SEKONDARI

    October 06, 2021
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

WANAWAKE WANUFAIKA NA MAMILIONI YA FEDHA KUTOKA HALMASHAURI- MONDULI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli