• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA SIASA MKOA WAMEFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI MONDULI IKIWA NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM.11.3.2024

Posted on: March 20th, 2024

Wajumbe wakamati ya siasa mkoa wa Arusha wakiongozwa na mwenyekiti CCM Mkoa,Loy Thomas Sabaya wamefanya ukaguzi  wa miradi ya maendeleo wilayani Monduli Shule mpya ya msingi Emairete iliyopo kata ya Monduli juu,Shule mpya ya Sekondari Lepuruko pamoja na mabweni ya shule ya sekondari Engutoto.Jana 11.3.2024.Ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya CCM Wilaya ya Monduli.

Ambapo kamati ya siasa Mkoa Arusha yapongeza Wanachi wa Monduli kwa kujitolea kwenye miradi ya maendeleo.lakini pia kamati hiyo ya siasa  imepongeza mradi wa Shule ya Msingi Emairete  ya mradi wa boost  2023 kwa kufanikisha utekelezaji wa ujenzi  wa madarasa mazuri na usimamizi mzuri wa mradi huo mpaka hapo walipofikia.

Vilevile pia,kamati ya siasa yaagiza kukamilika kwa ujenzi wa shule mpya ya Lepuruko ambapo wajumbe wakamati ya siasa wamemuagiza Mkurugenzi Mtendaji kupitia ofisi ya mkuu wa mkoa kukamilisha mradi huo mwezi aprili 30 2024 ili wanafunzi waanze kuingia darasani kuanza kusoma.

"Mradi huu uko nyuma ya wakati kulinganisha na muda wa utekelezaji wa mradi licha ya changamoto zinazojitokeza na kusababisha  uchelewaji wa mradi hivyo uongozi wa Halmashauri kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya tuhakikishe tunakamilisha mradi huu ifikapo aprili 30"amesema Mwenyekiti Sabaya.

Kwa upande wake,Mkuu wa wilaya ya Monduli mhe. Festo Kiswaga ameaidi kutekeleza mamagizi ya timu nzima ya kamati ya siasa Mkoa kuwa atafwatilia na kuhakikisha  mradi huo unakamilika kama maagizo yalivyotolewa

Mradi huo umejumuisha ujenzi wa jengo la utawala vyumba nane vya madarasa,ujenzi wa maabara,maktaba,kisima cha maji matundu ya vyoo pamoja na kichomea taka ambapo umegharimu milioni 692.2.

Imeandaliwa na:

Kitengo cha mawasiliano Serekalini

Monduli

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli