• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WILAYA YA MONDULI YASHIRIKI SIKU YA USAFI DUNIANI

Posted on: September 21st, 2024

Mkuu wa Kitengo cha Usafi na Mazingira Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Monduli Ndg. Frediric James Mnahela Leo Sept. 21, 2024 amewaongoza Wananchi wa kata ya Engaruka Kijiji cha Irerendeni Katika zoezi la usafi ambapo  Watanzania wote  wanaadhimisha  siku hii muhimu Duniani.

Akizungumza baada ya zoezi la usafi Ndg. Fredric Mnahela amesema, " suala la usafi ni la kila Mwananchi na hivyo kila Mwananchi siku zote ajenge tabia ya kufanya usafi katika mazingira yake anayoishi na Kwa mfanyabiashara pia afanye usafi katika maeneo yake ya biashara, na kwamba kuwepo na vihifadhia taka (dustbins) kabla taka hizo hazijapelekwa sehemu husika yaani dampo. "   Amesema Fredric Mnahela

Afisa Mazingira Fredric ameongeza kusema kuwa tunapo yaweka mazingira yetu safi majumbani, kazini na sehemu za biashara inatusaidia kuepuka magonjwa ya mlipuko na hivyo Afya zetu zinakuwa salama kwa faida yetu wenyewe na kwa maendeleo ya nchi yetu.

Aidha, Ndg. Fredric ametoa shukrani za pekee Kwa shirika la Engaruka Community Initiative Organisation (ENCO) Kwa kutoa ushirikiano mkubwa Kwa kutupatia vihifadhia taka(dustbins)   ambavyo vimetufaa sana leo Katika siku ya usafi Duniani.

Kwa upande wa Wananchi kata hiyo, wameshauri kuwepo na mzabuni ambaye ata ondoa taka hizo katika maeneo yao na kuzipeleka mahali husika yaani dampo na kwamba Kijiji tayari kimekwisha tenga ekari 5 kwa ajili ya dampo.

Sambamba na hayo Wananchi wa Engaruka wamefurahishwa na zoezi hilo kwani imekuwa ni chachu ya kuwakumbusha wajibu wao Katika suala la usafi na kwamba wako tayari kutoa tozo za usafi wa mazingira.

Ndg. Fredric amewasisitiza Wananchi hao kulipatia kipaumbele suala la usafi wa mazingira na kuwataka wajitokeze kwa wingi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi kufanya usafi wa kina.

Amehitimisha  kwa kutoa elimu ya mpiga kura na kuwasisitiza Wananchi kujiandikisha na kujitokeza kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MODFA YALENGA MBALI-MONDULI

    March 20, 2025
  • MHE.FREDRICK LOWASSA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MONDULI

    March 19, 2025
  • MILIONI 240 ZANUFAISHA KIJIJI CHA IRIMORIJO KWA MRADI WA MAJI

    March 18, 2025
  • MAFUNZO YA ELIMU YA MLIPA KODI KWA WAFANYA BIASHARA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO NA MADEREVA

    March 18, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli