• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANAMICHEZO MONDULI WANAOSHIRIKI MICHEZO YA SHIMISEMITA WAAGWA RASMI

Posted on: August 15th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Bi. Happiness R. Laizer, leo Agosti Agost 15,  2025, amewaaga rasmi na kuwatakia kila la heri Watumishi  wanamichezo wa Halmashauri hiyo wanaoelekea jijini Tanga kushiriki Mashindano ya Michezo ya  Watumishi wa Serikali za Mitaa (SHIMISEMITA) mwaka 2025.

Mashindano hayo, hufanyika kila mwaka yakihusisha Halmashauri 184 za Mikoa ya Tanzania yameanza  rasmi Agosti 15 hadi 29, 2025.

Bi. Laizer amewapongeza wachezaji kwa kuchaguliwa kuiwakilisha Monduli na kuonesha matumaini makubwa ya ushindi kutokana na ongezeko la idadi ya wachezaji mwaka huu. “Mwaka jana tulishiriki kwa idadi ndogo, lakini mwaka huu tuna timu kubwa na naamini tutarudi na ushindi,” amesema Bi. Happiness Lazer.




Kwa upande wake, Ndg. Haruna H. Haji (wa pili kulia) Mkuu wa Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji ambaye ni  kaimu Mwenyekiti wa Timu ya Wanamichezo, amemshukuru Mkurugenzi kwa kutoa vifaa vyenye thamani vya michezo na kuongeza idadi ya wachezaji huku akiahidi kuwa timu zote zitajituma ili Monduli irejee na ushindi mkubwa.

Bi. Happiness R. Laizer amehitimisha Kwa kumshukuru mdau kutoka Chama cha Walimu Monduli kwa mchango wa majitoleo ya maji kwa wanamichezo na kuwaombea afya njema, huku  akiwahimiza kuwa na ujasiri na kujiamini ili kufanya vizuri katika mashindano hayo.



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC GLORIANA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA APOKELEWA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO TARAFA YA KISONGO

    August 15, 2025
  • WANAMICHEZO MONDULI WANAOSHIRIKI MICHEZO YA SHIMISEMITA WAAGWA RASMI

    August 15, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli