• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC GLORIANA APOKELEWA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO TARAFA YA KISONGO

Posted on: August 15th, 2025

Wananchi katika Tarafa ya Kisongo Wilayani Mondul leo Agost 15, 2025 katika viwanja vya Ofisi ya Mtendaji Kata ya Meserani, wamempokea na kumkaribisha Mhe. Gloriana Mkuu wa Wilaya hiyo ili Kusikiliza na kutatua kero zinazo wakabili wananchi katika Tarafa hiyo.

Mhe. Gloriana ameelezwa kero mbalimbali zikiwemo. Kero za Wizi wa Mifugo na pikipiki, upungufu wa walimu mashuleni, uhaba wa Maji kipindi cha kiangazi, na changamoto za barabara.

Ambapo kero ya uhaba wa walimu, Wizi wa pikipiki na Mifugo, changamoto za barabara (TARURA) pamoja na changamoto ya uhaba wa Maji katika vijiji vya Tarafa hiyo zimetolewa utatuzi

Akiwasilisha kero ya maji Ndg. Pusindawa Mwenyekiti wa Kijiji cha Meserani ameomba kuongezewa mabwawa ya maji kwa ajili ya kunyweshea Mifugo kwani Moja lililopo huelemewa wakati wa kiangazi na kukauka huku akiomba miundombinu ya barabara kuelekea eneo la dampo ishughulikiwe kwa haraka.

Kuhusu suala la usafi wa Mazingira Meserani juu, Ndg. Fredrick Mnahela Afisa Mazingira Monduli ameeleza kuwa tiyari mzabuni amepatikana na ataanza kazi mara Moja kuanzia Agost 18, 2025.

Naye Bi. Lidya Mauki, (wa kwanza kulia) Afisa wa TAKUKURU Wilaya ya Monduli amewatahadharisha wananchi wa Tarafa hiyo juu ya suala la kupokea na kutoa Rushwa hasa kipindi hiki cha uchaguzi, ili waweze kumchagua viongozi wanaofaa na watakapsimamia haki zao.

Mhe. Gloriana amewasisitiza Wenyeviti katika Tarafa hiyo kukaa vikao vya kila mwezi vya Kijiji na kuwasomea wananchi mapato na matumizi huku akiwataka viongozi wa Chama kuwa na mahusiano mazuri na Watumishi wa Serikali kwa kuwa wote wapo ili kuwatumikia wananchi. 

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC GLORIANA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA APOKELEWA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO TARAFA YA KISONGO

    August 15, 2025
  • WANAMICHEZO MONDULI WANAOSHIRIKI MICHEZO YA SHIMISEMITA WAAGWA RASMI

    August 15, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli