• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC GLORIANA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

Posted on: August 27th, 2025


Nina Imani mmejifunza mambo mengi tena ya msingi katika mafunzo haya mliyoyapata, Imani yangu kubwa kwenu ni kwamba mtahakikisha mnalinda amani na utulivu katika Jamii huku mkikiishi kiapo chenu.

Hayo yamesemwa leo Agost 27, 2025 katika Kata ya Engaruka na Mhe. Gloriana J. Kimath, Mkuu wa Wilaya ya Monduli katika hafla ya kufunga mafunzo ya Jeshi la akiba kundi la 43/2025; yaliyoanza rasmi April 1, 2025 na yanahitimishwa leo Agost 27, 2025.

Akisoma taarifa ya mafunzo hayo Meja Emmanuel John Shayo ambaye ni mshauri wa Jeshi la akiba Monduli amesema kuwa jumla ya vijana 64 wakiwemo vijana wa kike  watatu (3) wanaohitimu hivi leo ni kati ya vijana 90 walioanza mafunzo hayo ambapo vijana 26 hawakufanikiwa kuhitimu kutokana na sababu mbalimbali.

Aidha, Meja Emmanuel John Shayo ameeleza kuwa  lengo la mafunzo yaliyotolewa kwa vijana hao ni kwaajili ya kusaidia kuimarisha Ulinzi na shughuli mbalimbali za kiusalama ndani ya Jamii

Naye Ndg. Yohana Laizer mmoja wa wahitimu hao ameeleza changamoto mbalimbali walizokutana nazo wakati wa mafunzo ikiwemo changamoto ya kulipia vitambulisho, usafiri kuelekea maeneo ya mazoezi, chakula na kuchelewa kupata kombati.

Mhe. Gloriana Kimath amewapongeza wahitimu hao, wakufunzi wao kwa kuwaandaa vijana wa Kitanzania ili kusaidia kupambana na suala la Wizi, majanga ya moto na shughuli mbalimbali watakazoelekezwa kwa mujibu wa Sheria.

Mhe. Gloriana amehitimisha kwa kumwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kuweka Mazingira ya kuandaa mapema mavazi (kombati) kwa ajili ya vijana wa mafunzo hayo ili wawe wanamaliza mafunzo yao kwa wakati.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC GLORIANA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA APOKELEWA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO TARAFA YA KISONGO

    August 15, 2025
  • WANAMICHEZO MONDULI WANAOSHIRIKI MICHEZO YA SHIMISEMITA WAAGWA RASMI

    August 15, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli