• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TATHMINI YA LISHE ROBO YA NNE APRIL- JUNI 2024/2025

Posted on: July 31st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Gloriana Kimath ameongoza kikao kazi cha tathmini ya lishe kwa robo ya nne (Aprili–Juni) kwa mwaka wa fedha 2024/2025, kilichofanyika katika ukumbi mkubwa wa mikutano wa Halmashauri hiyo leo Julai 31, 2025.

Katika kikao hicho, Mhe. Gloriana amempongeza Bi. Happiness R. Laizer Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli kwa usimamizi bora uliowezesha matumizi ya fedha za lishe kufikia asilimia 100, pamoja na kuhakikisha Kata zote 20 zinachangia chakula cha kutosha mashuleni na kuendesha maadhimisho ya siku ya lishe katika kila vijiji.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa afua za lishe, Ndg. Michael Mhombo alieleza kuwa utekelezaji wa viashiria vya  lishe umefikia asilimia 80, huku idara mtambuka zikiendelea kushirikiana kwa ukaribu ili kuhakikisha masuala ya Lishe yanakuwa sawasawa ndani ya Wilaya ya Monduli kwa makundi na rika hitajika.

Afisa Lishe kutoka Kituo cha Afya Mto wa Mbu, Bi. Adventina Nyambuya, amewaeleza watendaji wa kata kuhamasisha Jamii katika maeneo yao ili  maadhimisho ya siku ya lishe yaweze kufanyika kila baada ya miezi mitatu, wiki ya pili ya mwezi husika, kwa kushirikisha wataalamu wa kata wote. huku  akihimiza suala la utoaji wa elimu ya unyonyeshaji bora kwa jamii, kulingana na kaulimbiu ya mwaka huu.

Mhe. Kimath alihitimisha kikao kwa kuwataka watendaji wa kata ambazo hazijafanya vizuri katika masuala ya Lishe ili kuongeza juhudi na kufikia malengo yaliyowekwa.



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIMAMIENI NIDHAMU NA KUDHIBITI UPOTEVU WA VIPINDI

    September 02, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA APOKELEWA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO TARAFA YA KISONGO

    August 15, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli