• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MONDULI WAPONGEZWA USIMAMIZI WA MIRADI

Posted on: November 28th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Imepongezwa kwa Usimamizi thabiti wa Miradi.

Pongezi hizo zimetolewa na Katibu tawala Mkoa wa Arusha Ndugu Missaile Musa Albano akiwa katika ziara maalumu wilayani hapo kukagua baadhi ya miradi ya Maendeleo.

Awali akikagua mradi wa nyumba ya waalimu (Two in One) katika shule ya sekondari Mswakini iliyojengwa chini ya mradi wa SEQUIP na kugharimu Shilingi Mil.98  amewapongeza viongozi kwa Usimamizi wa mradi huo uliokamilika.

Aidha amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri kuhakikisha nyumban hiyo inakabidhiwa ndani ya wiki mbili zijazo ambapo ni pamoja na Mradi wa Maji unaosimamiwa na Walaka wa maji vijijini RUWASA ambao una lenga kufikia katika shule hiyo ili kuruhusu wanafunzi kuanza masomo mwezi January 2024.

Katika hatua nyingine Katibu Tawala Amefika kukagua mradi wa Shule mpya ya sekondari Lepurko Unaotekelezwa chini ya SEQUIP na kugharimu Zaidi ya Shilingi Mil.500 ambapo shule hiyo imefikia hatua ya umaliziaji.

Katika mradi huo Ameipongeza halmashauri ya Wilaya ya Monduli kwa Utakelezaji wa mradi huo kwa Viwango tajika na kwa wakati elekezi.

"Mimi naomba kwa mradi huu wa lepurko tuishie hapa lakini ningependa tu tukamilishe haya maeneo machache yalio baki, tails, maabara mi nawashukuru endeleni na kazi nzuri, kwa monduli mradi huu umewatoa kimasomaso" amesmema Musa katibu tawala.

Katibu Tawala Mkoa amekagua mradi wa Bweni katika shule ya sekondari ya wasichana Irkisongo unaotekelezwa chini ya Fedha za TASAF ambapo akiwa katika mradi huo pia ameelekeza ukamilike kwa wakati na kumtaka Mkurugenzi kufuatilia swala na Vitanda ili jengo hilo litumike mapema January 2024.

Hata hivyo, katika kuhitimisha zaiara yale amekagua  Jengo jipya la maabara katika hospital ya wilaya ya monduli Ulianza kutumika siku za hivi karibu ambapo akiwa hapo amezungumza na baadhi ya watumishi wa idara ya afya walifika kumpokea Kiongozi huyo.

Akizungumza na watumishi hao amewapongeza kwa kuhamia katika jengo hilo huku akiwataka kuendelea kufanya kazi kwa bidii na uadilifu ili kufanikisha dhamira ya serikali ya awamu ya sita.

Amewataka watumishi hao kuto kua na hofu ya kusemea Changamoto wanazo kutana nazo wakati wa kutekeleza majukumu yao ili Serikali ifahamu na kitafuta namna bora ya kutatua Changamoto hizo.

Ziara hiyo ya katibu tawala imefanikiwa kufika na kukagua Mradi wa Nyumba ya walimu Mswakini, Shule mpya ya Msingi Losimingori, Mradi wa Bweni Shule ya sekondari Irkisongo pamoja na Jengo la maabara ya katika hospitali ya wilaya na kuhitimisha ziara yake katika ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri iliyopo katika Jengo jipya la Utawala.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MODFA YALENGA MBALI-MONDULI

    March 20, 2025
  • MHE.FREDRICK LOWASSA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MONDULI

    March 19, 2025
  • MILIONI 240 ZANUFAISHA KIJIJI CHA IRIMORIJO KWA MRADI WA MAJI

    March 18, 2025
  • MAFUNZO YA ELIMU YA MLIPA KODI KWA WAFANYA BIASHARA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO NA MADEREVA

    March 18, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli