• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MONDULI KUPATA MGAO WA SHILINGI MILIONI 720 KWA AJILI YA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI

Posted on: October 13th, 2021

Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia wizara ya TAMISEMI imepanga kujenga vyumba bya madarasa 12,000 vitakavyo gharimu shilingi Bilioni 240 katika shule za sekondari katika halmashauri mbali mbali nchiniikiwa ni kujiandaa kuwapokea wanafuzi wa kidato cha kwanza watakao jiunga mwezi Januari 2022.

Ujenzi huo wa vyumba vya madarasa unatokana na mahitaji kulingana na idadi ya wanafunzi wanaotarajiwa kujinga na kidato cha kwanzanmwaka 2022 ambapo Kulingana na mchanganuo huo wa serikali imetaja halmashauri ya willaya ya Monduli kuwa ni mongoni mwa halmashauri nufaika na mpango huo kwa kuonyesha kuwa ina uhitaji wa jumla ya madarasa 71 na tayari ina madarasa 35 na kuwa na pungufu ya madarasa 36 hivyo katika mgao itapata madarasa hayo 36 ambapo kila darasa litagarimu shilingi Million 20  na jumla yake itakua Milion 720.

Matokeo ya ufaulu kitaifa yanatofautiana kati ya halmashauri moja na nyingine kwa wastani wa ufaulu wa kitaifa wa asilimia 90 ya wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza januari 2022 ni 1,022,936 mahitaji ya vyumba vya madarasa ni 20,535 ambayo hailingani na idaidi ya vyumba vya madarasa 8,535 vitakavyo achwa wazi Novemba, 2021 .

Vimba hivyo vya madarasa vinajengwa kupitia mpango wa Maendeleo kwa wastani wa Taifa na Mapambano Dhidi ya UVIKO-19, serikali itajenga vyumba vyote  vya madarasa vitakavyo hitajika kwajili ya kidato cha kwanza mwaka 2022.

Ukamilishaji wa madarasa hayo 12,000 utawawezesha wanafunzi 600,000 kupata vyumba vya kusomea  na hivyo utaondoa changamoto ya upungufu wa vyumba vya madarsa kwa asilimia 100 katika sule za sekondari.

Imeandikwa na Kuchapishwa na

Obed Emmanuel

Ofisi ya TEHAMA Halmashauri ya Monduli

#TAMISEMI

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MODFA YALENGA MBALI-MONDULI

    March 20, 2025
  • MHE.FREDRICK LOWASSA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MONDULI

    March 19, 2025
  • MILIONI 240 ZANUFAISHA KIJIJI CHA IRIMORIJO KWA MRADI WA MAJI

    March 18, 2025
  • MAFUNZO YA ELIMU YA MLIPA KODI KWA WAFANYA BIASHARA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO NA MADEREVA

    March 18, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli