• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

.MONDULI DC YAIBUKA MSHINDI MASHINDANO YA UMITASHUMTA MKOA WA ARUSHA

Posted on: June 16th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, Bi. Happiness R. Laizer, amewapongeza Afisa  Elimu Msingi na Afisa Michezo Wilaya ya Monduli, kwa kusimamia vyema mashindano ya UMITASHUMTA mwaka 2025, ambapo Monduli imeibuka Mshindi wa jumla katika Mkoa wa Arusha ambaye  amejinyakulia vikombe 9 na medali 10 ✅

Bi. Happiness R.  Laizer ametoa pongezi hizo kwa juhudi, nidhamu na mshikamano wa timu nzima ya Monduli nakusema " ushindi huo unaonesha namna sekta ya elimu na michezo ilivyojipanga kuendelea kuboresha na kuibua vipaji vipya na kuvitunza kwa Wanafunzi wetu kwa faida ya Sekta hiyo. "

Bi. Happiness amehitimisha kwa kuwasisitiza Maafisa hao  kuzidi kuhamasisha Wanafunzi Wilayani humo, kushiriki kikamilifu katika Michezo  huku akisisitiza kuendelea kuwekeza zaidi katika Michezo kwa kuwa Michezo ni Afya, Michezo ni ajira.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MONDULI YATOA ELIMU YA BIASHARA KIDIJITALI

    June 20, 2025
  • MONDULI YAIBUKA NA VIKOMBE 10 UMISSETA, 2025

    June 17, 2025
  • .MONDULI DC YAIBUKA MSHINDI MASHINDANO YA UMITASHUMTA MKOA WA ARUSHA

    June 16, 2025
  • MONDULI YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MTOTO WA AFRIKA KWA KUIMARISHA ULINZI WA HAKI ZA WATOTO

    June 16, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli