• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA AWACHUKULIA HATUA WAVAMIZI WA MSITU WA LENDIKINYA

Posted on: November 24th, 2023

Wakulima na wafugaji waliovamia Msitu wa Lendikinya unao husisha kata mbili Kata ya monduli Juu na kata ya Sepeko Wilayani Monduli wametakiwa kusitisha mara moja shughuli za kibinadamu katika msitu huo ikiwemo kilimo,ufugaji na makazi.

Katazo hilo limetolewa na mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe. Joshua Nassari alipofika kukagua hali ya msitu huo ulioko chini ya Wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) ambao siku za hivi karibuni  kumeshuhudiwa uvamizi mkubwa wa wakulima kutoka vijiji vya jirani ikiwemo kijiji cha lendikinya.

Akizungumza mbele ya wataalamu alio ambatana nao wakiwemo maafisa Maliasili kutoka halmashauri ya wilaya ya monduli pamoja na waataalamu wa TFS amewataka wawekezaji wawili walio tajwa kuhusika katika uwekezaji wa mashamba hayo Bw. LAANYUNI SOKOINE na Mwenzake aliejulikana kwa jina moja DUNI kufika ofisini kwakwe siku ya Juma mosi 25.november 2023.

“Hawa ndio wateja kwahivyo lazima tuanze kwanza na wateja wawili, hawaiwezekani hawa waili waisumbue wilaya nzima Msitu umetunzwa tangu mika mingi hapana! Hao wateja wawili  wafike ofisini kwangu juma mosi tuanzie hapo kudhibiti ” amesema Nassari.

Kwa upande wake Mkuu wa idara ya Maliasili na Utalii wa Halmashauri ya Wilaya ya monduli Bwana Adili Mwanga akielezea historia ya msitu huo amesema tangu Mwaka 1972 msitu huo ulikua mzuri mpaka kufikia mwaka 1983 ambapo tangu wakati huo msitu ulianza kuvamiwa sana na wananchi.

Amesema mnamo mwaka  1996 serikali ya wilaya kwa kushirikiana na vijiji ikaanzisha kampeni ya kuwaondoa wavamizi wote katika msitu huo na kufanikiwa kuondoa kaya takriban 650, mwaka 2003 uvamizi ukaanza tena ambapo mpaka sasa bado juhudi za kuwaondoa zinaendelea.

Mwandishi wetu. @obedemmanuel.

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MODFA YALENGA MBALI-MONDULI

    March 20, 2025
  • MHE.FREDRICK LOWASSA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MONDULI

    March 19, 2025
  • MILIONI 240 ZANUFAISHA KIJIJI CHA IRIMORIJO KWA MRADI WA MAJI

    March 18, 2025
  • MAFUNZO YA ELIMU YA MLIPA KODI KWA WAFANYA BIASHARA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO NA MADEREVA

    March 18, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli