• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MIMI SI MKUU WA MKOA WA KUKAA OFISINI BALI WA KUWAFIKIA WANANCHI KUSIKILIZA KERO ZAO NA KUZITATUA

Posted on: September 10th, 2025

Hayo yamesemwa leo Septemba 10, 2025 na Mhe. CPA. Amos Gabriel Makalla Mkuu wa Mkoa wa Arusha katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli wakati akizungumza na Watumishi wakiwemo Maafisa Watendaji, Wenyeviti wa vijiji, Malaigwanani na viongozi mbalimbali wa Halmashauri hiyo.

Mhe. CPA. Amos Gabriel Makalla amempongeza Mhe. Gloriana Kimath Mkuu wa Wilaya ya Monduli kwa Kusikiliza na kutatua migogoro mbalimbali ikiwemo ya ardhi.

Akisoma taarifa ya Wilaya hiyo Mhe. Gloriana Kimath amesema kuwa, Wilaya hiyo imesikiliza jumla ya kero 50 za ardhi ambapo kero 11 zimesikilizwa na kutatuliwa na kero 39 zinaendelea kutafutiwa utatuzi ikiwa ni pamoja na kuendelea kutoa Elimu kwa Wananchi ili wawe na uelewa wa kutosha wa Sheria za ardhi, tafsiri ya mipaka na mpango wa matumizi bora ya ardhi.

Mhe. Gloriana J. Kimath amuahidi Mhe. Makalla kuwa, yeye pamoja na Ofisi ya Mkurugenzi, Malaigwanani (wazee wa kimila), viongozi mbalimbali na Watumishi wote watampa ushirikiano wa kutosha ili kuhakikisha Wilaya ya Monduli na Wananchi wote wanakuwa salama na miradi ya maendeleo inakamirishwa kwa wakati.

Mhe. CPA. Amos Makalla amewasisitiza Watendaji na Kamati ya ulinzi na Usalama kuhakikisha kuwa kunakuwepo na amani na utulivu kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika mwakani Oktoba  29,2025 huku akisisitiza viongozi  wa dini na Mila Kuwa mstari wa mbele  katika kuhamasisha Wananchi kushiriki uchaguzi Kwa amani na utulivu.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MIMI SI MKUU WA MKOA WA KUKAA OFISINI BALI WA KUWAFIKIA WANANCHI KUSIKILIZA KERO ZAO NA KUZITATUA

    September 10, 2025
  • SIMAMIENI NIDHAMU NA KUDHIBITI UPOTEVU WA VIPINDI

    September 02, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli