• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MHE. FREDRICK LOWASSA AZINDUA MRADI WA NYUMBA YA WAHUDUMU ARKARIA.

Posted on: June 26th, 2025

Mhe. Fredrick Edward Lowassa Mbunge wa Jimbo la Monduli June 26, 2025 amezindua mradi wa nyumba ya Wahudumu wa Afya ya mbili kwa Moja (two in one) yenye thamani ya shilingi milioni 92 katika Zahanati ya Kijiji cha Arkaria kilichopo katika Kata ya Sepeko Wilayani Monduli.

Aidha, Mheshimiwa Fredrick Lowassa amewapongeza wananchi kwa ujumla, Mkurugenzi, Watendaji wa Kijiji hicho pamoja na Mratibu wa TASAF kwa kushiriki na kusimamia vema ukamilishaji wa Mradi huo muhimu katika Kata hiyo huku Mhe. Fredrick akiahidi kuwapatia Maji ya Bomba kwa haraka ili kurahisisha huduma kwa wananchi na wagonjwa katika Kijiji hicho pamoja na ujenzi wa Barabara itakayo rahisisha usafiri.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa Mradi huo Bi. Cresensia Shine ambaye ni Mratibu wa TASAF Wilaya ya Monduli amesema " Mradi wa ujenzi wa nyumba ya Wahudumu wa Afya  katika Zahanati ya Arkaria  uliibuliwa na wananchi wa Kijiji hicho kwa Lengo la kuondoka changamoto ya makazi kwa Wauguzi wa zahanati ya hiyo na kuboresha huduma kwa wakati. Ambapo mradi huo umeanza Feb, 2025 na kukamilika mei, 2025. " amesema Bi. Cresensia

Naye Mhe. Diwani aliyemaliza muda wake Juni, 2025 ameishukuru kwa mambo mazuri ambayo TASAF imeyafanya katika Kata hiyo kwa kuwajengea zahanati na kwamba kaya masikini hazijaachwa nyuma kwa kuwa wananchi wengi wameendelea kunufaika na fedha zinazotoka katika mfuko wa TASAF.

Kwa upande wake Bi. Nasotwa Sangiki mnusaika wa Mfuko wa TASAF ameishukuru Serikari ya awamu ya sita inayoongozea na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaguza akina Mama wa Kata hiyo kwakuwa kupitia mradi huo vifo vya Mama na Mtoto vitaendelea kupungua kwani Wanawake wengi sasa wanajifungulia hospitalini.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Rc KIHONGOSI APOKELEWA KWA SHANGWE MKOANI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • Rc KIHONGOZI APOKELEWA KWA SHANGWE MKOANI ARUSHA.

    June 30, 2025
  • MHE. FREDRICK LOWASSA AZINDUA MRADI WA NYUMBA YA WAHUDUMU ARKARIA.

    June 26, 2025
  • MONDULI YATOA ELIMU YA BIASHARA KIDIJITALI

    June 20, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli