• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KIKAO CHA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA LISHE KWA ROBO YA PILI OCTOBA - DESEMBA 2024/2025

Posted on: February 1st, 2025

Mhe.Festo Shem Kiswaga  Mwenyekiti wa kamati ya Lishe  Wilaya ya Monduli, leo Januari 31, 2025 ameongoza kikao cha kamati hiyo  Kwa robo ya pili ya  Oktoba - Desemba 2024/2025 chenye dhima ya kupokea na kujadili taarifa ya  utekelezaji wa shughuli za lishe katika Kata zote Kwa robo hiyo.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe katika Idara ya afya Wilaya ya Monduli Bi.Adventina - Afisa Lishe zahanati ya Mto wa Mbu ameeleza shughuli mbalimbali  zilizofanyika katika robo hiyo; ikiwemo kutoa elimu ya Lishe kwa makundi mbalimbali katika jamii, kushiriki maadhimisho ya siku ya Lishe duniani pamoja na kutoa tathmini ya hali ya lishe Wilayani humo.

Akizungumzia hali ya Lishe kwa watoto Bi. Adventina amesema jumla ya watoto 32,426 waliochunguzwa  watoto 8 walikutwa na utapiamulo, huku watoto 14 hali zao za Lishe zikibainika kuwa hafifu na mtoto mmoja akithibitika kuwa na hali duni ya Lishe.

Kwa upande wa Suala la chanjo na vitamini  Bi Adventina ameeleza kuwa jumla ya watoto 101 walipewa vitamin "A", 61 walipewa dawa za minyoo na 56 walipata  chanjo ya PCV, PENTA na SURUA. Aidha, jumla ya watu wazima 67 Waliopima hali ya lishe wawili(2) walithibitika kuwa na  uzito pungufu,  25  uzito uliozidi na wanne(4) uzito uliothibitika kupitiliza huku watano (5) wakithibitika kuwa na shinikizo la juu sana la damu.

Kwa upande wake Dkt. George Kasibante ambaye ni Mganga Mkuu wa Wilaya kwaniaba ya Mkurugenzi Mtendaji amesema, mabadiliko chanya  yaliyoleta matokeo mazuri yametokana  na kuwawezesha watumishi walioko katika vituo vya afya kuwa na Mazingira mazuri ya Kazi, uwepo wa Dawa na Vifaa tiba katika Hospitali na zahanati zote ndani ya Wilaya ya Monduli, huku akizitaja changamoto chache zilizopo na kuahidi kuzitafutia majawabu.

Akihitimisha kikao hicho,  Mhe. Kiswaga Mwenyekiti wa kamati ya Lishe ya Wilaya, amewaasa Watendaji wa Kata katika Wilaya ya Monduli kujibidiisha na kusimamia shughuli za lishe na afya Kwa ujumla ili kuimarisha afya za wananchi  katika maeneo yao wanayofanyia kazi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MODFA YALENGA MBALI-MONDULI

    March 20, 2025
  • MHE.FREDRICK LOWASSA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MONDULI

    March 19, 2025
  • MILIONI 240 ZANUFAISHA KIJIJI CHA IRIMORIJO KWA MRADI WA MAJI

    March 18, 2025
  • MAFUNZO YA ELIMU YA MLIPA KODI KWA WAFANYA BIASHARA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO NA MADEREVA

    March 18, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli