• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KAMATI ZA UJENZI ZAPEWA MAFUNZO - MONDULI

Posted on: July 16th, 2025

Kamati za ujenzi  ngazi za Shule kutoka katika kila shule iliyopatiwa mradi Wilayani Monduli leo Julai 16, 2025 katika Ukumbi wa Halmashauri hiyo zimepatiwa mafunzo ya namna  bora ya kutekeleza miradi ya ujenzi wa Miundombinu katika  Shule tano (5)  za Msingi ambazo ni Endepesi, Lemiyoni, Manyara Ranch, Loosimingori na Lowassa Wilayani humo.

Akizungumza wakati wa  kufungua mafunzo hayo Ndg. Haruna Haji ambaye ni Mkuu wa Divisheni ya Biashara, Viwanda na Uwekezaji, kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bi. Happiness R. Laizer  amesema kuwa; Serikali imetupatia jumla ya Shilingi milioni 669.1 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 18 na matundu 55 ya vyoo katika Shule hizo, ambapo fedha hizo zinapaswa kutumika kwa kuzingatia ubora, taratibu na miongozo ya Serikali.

Aidha, Ndg. Haruna amesisitiza kuwa wakati wa kutekeleza miradi hiyo wanakamati hao katika kila shule husika wahakikishe kusudio la Serikali linafikiwa na kwamba wakati wa utekelezaji wasiweke maslahi yao mbele bali maslahi ya Wananchi na Serikali kwa ujumla.

Naye Ndg. Lucas Haga ambaye ni Mkuu wa Divisheni ya Mipango na Uratibu Wilayani humo amefafanua kuwa fedha hizo japo zimefika sasa itambulike kuwa ni za mwaka wa fedha 2024/2025 ambapo utekelezaji wake unafanyika katika mwaka 2025/2026,  amesisitiza Kamati hizo kuzingatia majukumu yake ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati.

Kwa upande wake Ndg. Elias Mollel mmoja wa wanufaika wa mafunzo hayo ameshukuru kwa Elimu na maelekezo yaliyotolewa na kusema anaamini utekelezaji utaenda sawa sawa na maelekezo ili miradi ikamilike kwa wakati na kwa ubora.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI ZA UJENZI ZAPEWA MAFUNZO - MONDULI

    July 16, 2025
  • DC GLORIANA AZINDUA CHANJO YA TATU MOJA- MONDULI

    July 16, 2025
  • MHE. GLORIANA KIMATH AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    July 08, 2025
  • MONDULI YANG'ARA MATOKEO YA MITIHANI YA TAIFA 2024 MA 2025

    July 08, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli