• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA ALISHAURI JESHI LA AKIBA KUACHA KUCHAGUA KAZI

Posted on: March 22nd, 2023


Na Mwandishi Wetu

Obed Emmanuel. 

Askari wa jeshi la akiba wametakiwa kutumia fursa za kazi zinazojitokeza na kuacha tabia ya kuchagua kazi baaada ya kuhitimu mafunzo ya jeshi hilo.

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe Joshua Nasary akifunga mafunzo kwa askari hao yaliyofanyika kitarafa katika eneo la mafunzo kata ya meserani wilayani monduli .

Amesema vijana wengi wanao pata mafunzo hayo wamekua na tabia ya kuchagua kazi kulingana na mazingira, hali, malipo na sababu zingine.

katika hatua nyingine Mhe Nasari amewahasa vijana hao kutumia taaluma na stadi zao kutoa msaada katika jamii hasa yanapotokea majanga ya mbalimbali ikiwemo ya moto, na ajali.

Meja Emmanuel Shayo ni mshauri wa jeshi la akiba Wilaya pia amesema mpaka sasa Vijana 50 wamepata ajira kwenye kampuni ya Suma-JKT Guardsn a wengine wakiajiriwa katika makampuni mengiine huku akikiri kuwa changamoto wanayokutana nayo zaidi ni vijana hao kuchagua kazi.

Diwani wa kata ya meserani mhe Lotti Napara ameshuru kuwepo kwa vijana hao wazalendo katika kata yake kwani ni sehemu kubwa kusimamia usalama katika kata hiyo ambayo hivi karibuni imekua na mchanganyiko wa watu kutoka katika miji ya jiraani.

Nae katibu wa chama cha Mapinduzi Wilaya ya Monduli Bi Rukia Mbasha akirai ushirikiano kati ya kamati ya ulinzi na usalama na Askari hao.

Mafunzo ya kujikumbusha kundi la kwanza la mwaka 2023 Yamefanyika katika Tarafa ya Kisongo, Kata ya Meserani.

Yamekuwa na Jumla ya Askari 80 (wanaume 71, wanawake 9).

Waliofanikiwa kumaliza ni Askari 65 (wanaume 60, wanawake 5)

Mafunzo hayo yametumia muda WA wiki 7 na masomo yaliyofundishwa ni toka JWTZ, polis, uhamiaji, zimamoto, Takukuru, pamoja na Mganga mkuu hospitali ya Wilaya.

#Tehama

#Monduli



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MODFA YALENGA MBALI-MONDULI

    March 20, 2025
  • MHE.FREDRICK LOWASSA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MONDULI

    March 19, 2025
  • MILIONI 240 ZANUFAISHA KIJIJI CHA IRIMORIJO KWA MRADI WA MAJI

    March 18, 2025
  • MAFUNZO YA ELIMU YA MLIPA KODI KWA WAFANYA BIASHARA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO NA MADEREVA

    March 18, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli