• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

IDARA YA ELIMU MSINGI YAFANYA TATHIMINI MTIHANI WA MOCK DARASA LA SABA 2023

Posted on: July 21st, 2023

Idara ya Elimu msingi ya Halmashauri ya wilaya ya Monduli Imefanya kikao cha Tathimini ya mtihani wa utamirifu (Mock) Darasa la Saba mwaka 2023.

Katika kikao hicho cha Tathimini kilichoongozwa na Katibu tawala Wilaya ya Monduli Ndugu Kasimu kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Joshua Nasari ameipongeza idara ya elimu na Halmashauri na shule kwa ujumla kwa matokeo mazuri ya mtihani huo mwaka 20203.

Aidha akitaja Tathimini la kikao hicho cha ameitaka idara hiyo kuendelea kufanya vikao vya Tadhimini kwa kila mtihani ili kufahamu changamoto zinazo sababisha ufaulu wa shule kushuka.

Amewata waalimu kushirikiana kwa pamoja kuhakikisha wanaongeza bidii kuendeleza ufaulu katika shule na kuendelea kushikilia nafasi hiyo au kupanda zaidi ya wastan huo walio nao kwa sasa

kwa upande wake Afisa Elimu awali na msingi Mwl. Natang'aduaki Mollel amewapongeza waalimu wakuu wa shule zote zilizo fikia wastani wa ufaulu na kuifanya wilaya kushika nafasi ya pili kimkoa katika mtihani huo.

Aidha amewataka waalimu na waratibu elimu kata walioshindwa kufikia wastan kujitafakari na kuanza kuchukua hatua za haraka ili kufikia wawastan husika na kuifanikisha wilaya  kufikia katika lengo/malengo walilojiwekea.

Amewataka kushirikiana na waalimu waliofikia wastan ili kufahamu mbinu mbadala walizotumia kufikia ufaulu huo tajika na kwenda kufanyia kazi ilikuweza kuongeza ufaulu katika shule zao hasa katika mtihani wa taifa mwaka 2023.

Hata hivyo katika kikao hicho cha Tathimini kilichohudhuriwa na waalimu wakuu wote na waratibu wa Mewaka ngazi ya shule pamoja na waratibu elimu kata pia nao wamepata nafasi ya kutoa maoni yao juu ya kile kinachotakiwa kufanyika ili kufikia hatua tajika ya ufaulu katika shule zao kiwilaya, mkoa na Taifa.

Waalimu walioongoza kwa ufaulu wametoa semina fupi kwa wale walioshindwa kufikia wastan ambapo miongoni mwa Mambo walio sisitiza ni waalimu kuwa karibu na wanafunzi, Walimu kumaliza Mtaala mapema ili kupata muda wa kufanya marudio pamoja na kuandaa mitihani ya mara kwa mara.

Kikao hicho cha Tathimini ya mtihani wa utamirifu Mock Darasa la Saba kimefanyika hii leo tarehe 21/07/2023 chini ya idara ya Elimu Msingi wilaya

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MODFA YALENGA MBALI-MONDULI

    March 20, 2025
  • MHE.FREDRICK LOWASSA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MONDULI

    March 19, 2025
  • MILIONI 240 ZANUFAISHA KIJIJI CHA IRIMORIJO KWA MRADI WA MAJI

    March 18, 2025
  • MAFUNZO YA ELIMU YA MLIPA KODI KWA WAFANYA BIASHARA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO NA MADEREVA

    March 18, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli