• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC KISWAGA AKAUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI MONDULI

Posted on: September 24th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Festo Kiswaga amefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Kata ya Lepuruko na Kata ya Migungani B, ambapo Shule ya Sekondari Lepuruko iliyopo kata ya Lepuruko na Shule ya Sekondari Migungani kata ya Migungani Leo Septemba 24, 2024 zimekaguliwa.

Katika ziara hiyo Mhe. Kiswaga amebaini kuwa ujenzi wa vyumba vya madarasa haujaenda sawa sawa na muda uliopangwa kwani takribani mwezi sasa bado ujenzi huo uko hatua za awali.Aidha, Mhe. Kiswaga amewataka Waandishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli kuongeza jitihada za uwajibikaji ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika Kwa wakati.Ameongeza kuwa katika miradi yote nguvu ya Wananchi pia inahitajika ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa kuchangia walau maji na mawe katika kata zote huku akimpongeza Mhe. Diwani wa Kata ya Migungani Kwa kuchangia Lori 12 za mawe. Mhe. Kiswaga ameeleza " Baada ya wiki mbili nitakuja kufanya ukaguzi tena ili nione kama niliyoyaongea yametekelezwa." amesema Kiswaga.

Kwa upande mwingine, DC Kiswaga amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli  Bi.Happiness R.  Laizer kwa usimamizi mzuri katika Ujenzi wa  shule ya Sekondari Migungani kwa hatua waliofikia kwani inaonyesha matumaini mazuri ya kukamilika Kwa mradi huo.

Akisisitiza katika jambo hilo la ujenzi, Mhe. Kiswaga amewataka mafundi wote kuwajibika ipasavyo na kukamilisha miradi kwa wakati si kwa kuzingatia muda tu waliopewa bali pia kwa kuzingatia ubora wa kazi na viwango vya ujenzi vinavyo tambulika na Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais makini Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mhe. Kiswaga amehitimisha kwa kuwasihi Wananchi kuona umuhimu wa kijitoa kwa ajili ya maendeleo katika maeneo yao hasa katika masuala haya ya elimu kwa watoto, kwa maendeleo binafisi na Tanzania kwa ujumla.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MODFA YALENGA MBALI-MONDULI

    March 20, 2025
  • MHE.FREDRICK LOWASSA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MONDULI

    March 19, 2025
  • MILIONI 240 ZANUFAISHA KIJIJI CHA IRIMORIJO KWA MRADI WA MAJI

    March 18, 2025
  • MAFUNZO YA ELIMU YA MLIPA KODI KWA WAFANYA BIASHARA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO NA MADEREVA

    March 18, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli