• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC GLORIANA KIMATH AZUNGUMZA NA MALAIGWANANI - MONDULI

Posted on: July 24th, 2025

Viongozi wa kimila ni nguzo muhimu katika jamii na mnapaswa kuwa sehemu ya utatuzi wa migogoro badala ya kuwa chanzo cha migogoro, ili kudumisha amani na kuleta Maendeleo endelevu katika Jamii.

Hayo yamesemwa leo Julai 24, 2025 na Bi. Gloriana Julius Kimath Mkuu wa Wilaya ya Monduli katika kikao chake cha kwanza na Malaigwanani (wazee wa Mila) hao Wilayani humo, kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri hiyo chenye lengo la kuwataka viongozi hao wa kimila kudumisha ushirikiano hasa katika masuala ya kutatua migogoro mbalimbali baina ya Wananchi na kuhakikisha Usalama unazidi kuimalika ndani ya Jamii.

Aidha, Bi. Gloriana Kimath amewataka Malaigwanani hao kuwa na mshikamano na wanajamii katika kuhakikisha wanasimamia vema masuala yenye kuleta tija kwa Jamii kwa kuwa wao ni chachu kubwa ya Maendeleo katika maeneo yao.

Naye Ndg. Isack Olekisongo ambaye ni Kiongozi wa Malaigwanani, ameshauri kuwa ni vyema panapotokea migogoro kabla ya kutolewa maamuzi ya migogoro hiyo kwakuwa ina mguso kwa wananchi, ni vyema Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ishirikiane na malaigwanani ili kupata suluhu ya pamoja ambayo itasaidia kuondoka kabisa migogoro husika.

Kwa upande wake Ndg. Sekera Lemara, ambaye ni Laigwanani na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa, alitoa pongezi kwa uongozi wa Wilaya kwa kuitisha kikao hicho akieleza kuwa kikao hicho kimeongeza ari ya kutambulika kwa Malaigwanani hao na kwamba watahakikisha wanaendelea kulinda amani katika jamii

Mhe. Gloriana amehitimisha kikao hicho kwa kuwapongeza malaigwanani kwa kujitokeza kwa wingi na kwa ushiriki wao mzuri huku akiwasisitiza kuendelea kutoa hamasa kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu, unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 2025


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIMAMIENI NIDHAMU NA KUDHIBITI UPOTEVU WA VIPINDI

    September 02, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA APOKELEWA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO TARAFA YA KISONGO

    August 15, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli