• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC GLORIANA AZUNGUMZA NA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO - MONDULI

Posted on: July 30th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Gloriana Julius Kimath mapema leo Julai 30, 2025,  amefanya kikao kazi na Wakuu wa Divisheni na Vitengo wa Halmashauri ya Wilaya hiyo katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Halmashauri kwa lengo la kuwakumbusha wajibu wao katika utendaji kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa Wananchi.

Akizungumza katika kikao hicho, Mhe. Gloriana amewataka Wakuu wa Divisheni na Vitengo Wilayani humo kuendelea  kufanya kazi kwa moyo, weledi na Upendo, kwa  kujitolea bila kutegemea malipo ya ziada, kushirikiana kwa karibu katika kutekeleza majukumu ya Halmashauri, na kuhakikisha wanakuwa watumishi wa wananchi badala ya kujitenga, na kujiinua kwa  watu wanaowatumikia

Aidha,  Mhe. Gloriana amewaasa kuzingatia  umuhimu wa kusimamia vizuri miradi ya maendeleo, kulinda mali za umma kama magari na majengo, pamoja na kutumia lugha yenye staha katika utoaji huduma kwa jamii.

Naye Bi. Happiness R. Laizer Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli amemshukuru Mkuu wa Wilaya hiyo Bi. Gloriana Kimath kwa kusudio la kikao hicho na kusema kuwa kitasaidia kuongeza ufanisi katika utendaji kazi na kuendelea kuleta Maendeleo endelevu katika Halmashauri ya Wilaya ya Monduli huku akiahidi kuendeleza ushirikiano kati ya Ofisi yake na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo katika kuleta maendeleo wilayani humo.

Bi. Pamela Ijumba Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi amemshukuru Mhe. Gloriana Kimath kwa kuwakumbusha majukumu yao ya kiutumishi na maisha binafsi na kuahidi kushirikiana katika utendaji kazi kwa Maendeleo ya Halmashauri na wananchi kwa ujumla.


Sambamba naye,Huruma  Mgeyekwa  Kaimu Mkuu Kitengo cha ukaguzi wa ndani amesema kuwa kikao hicho kimeendelea kuongeza chachu ya utendaji kazi katika majukumu yao ya kila siku na kwamba katika mwaka huu mpya wa fedha wanatarajia kuona mabadiliko makubwa sana katika utendaji kazi


Mhe. Gloriana amehitimisha kikao hicho kwa kuwapongeza Wakuu wa Idara na Vitengo kwa kushiriki vyema katika kikao hicho huku akiwataka kuwa sehemu ya kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki vyema katika uchaguzi Mkuu Octoba 2025.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIMAMIENI NIDHAMU NA KUDHIBITI UPOTEVU WA VIPINDI

    September 02, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA LA 43/2025 - MONDULI

    August 27, 2025
  • DC GLORIANA APOKELEWA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO TARAFA YA KISONGO

    August 15, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli