• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI MONDULI LAJADILI UTEKELEZAJI WA SHUGHULI MBALIMBALI ROBO YA PILI YA 2024/2025

Posted on: January 31st, 2025

Mhe. Isack Copriano Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli ambaye pia ni Diwani wa Monduli Mjini, ameongoza Baraza la kawaida la madiwani la robo ya pili kwa mwaka wa fedha 2024/2025 lililofanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo.

Ambapo, katika Baraza hilo Mhe. Isack Copriano ameruhusu maswali na majibu ya papo Kwa hapo ambayo yameibuliwa kutoka Sekta mbalimbali ikiwemo  Elimu, Afya, Maji, pamoja na ukarabati wa miundombinu ya Barabara huku maswali mengine yakiulizwa na kujibiwa kuhusu miundombinu ya nishati ya umeme katika baadhi ya Kata Wilayani humo.

Akizungumzia suala la uhaba wa walimu katika Shule za Msingi  Mhe.Paulina Richard Diwani viti maalumu Tarafa ya Kisongo ameshauri wataalamu kupeleka maombi ya uhitaji wa walimu ili kupata walimu wa kutosha kwa kuwa Shule nyingi Wilayani humo zimekuwa na idadi kubwa ya Wanafunzi, huku idadi ya walimu ikiwa ndogo suala linalopelekea utendaji kazi kuwa mgumu na hata Matokeo kutofikia Viwango vilivyopendekezwa.

Naye Mhe.Loth Diwani Kata ya Meserani ameongoza kwa kusema kuwa uhitaji wa walimu wa Sayansi pia ufikiriwe  kuweza kuweka mazingira rafiki ya usomaji Kwa Wanafunzi na ufanisi mkubwa hasa katika masomo ya sayansi.

Kwa upande mwingine Ndg. Ramadhani Madeleka kutoka Mkoani, ameshauri suala la utaratibu mzuri wa uendeshaji  wa maswali yanayoulizwa kwenye Baraza kuwa yawasilishwe mapema kwa wataaamu ili waweze kuyachakata nakutoa majibu yaliyosahihi kwa wakati.

Kwa upande wa Miradi, kuhakikisha  tathmini inafanyika katika miradi yote inayotarajiwa kufanyika iIi kwenye bajeti zitengwe fedha ambazo ni gharama halisi itakayo kamilisha mradi husika kwakufanya hivyo itasaidia kutokuwa na Miradi kipolo.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MODFA YALENGA MBALI-MONDULI

    March 20, 2025
  • MHE.FREDRICK LOWASSA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MONDULI

    March 19, 2025
  • MILIONI 240 ZANUFAISHA KIJIJI CHA IRIMORIJO KWA MRADI WA MAJI

    March 18, 2025
  • MAFUNZO YA ELIMU YA MLIPA KODI KWA WAFANYA BIASHARA WAMILIKI WA VYOMBO VYA MOTO NA MADEREVA

    March 18, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli