• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU (ELIMU) KUTOKA OR-TAMISEMI DKT. CHARLES MSONDE WILAYANI MONDULI.

Posted on: May 17th, 2024

Naibu katibu mkuu Dkt. Charles Msonde kutoka ofisi ya Rais Tamisemi amefanya ziara wilayani Monduli kwa lengo la kuzungumza na walimu wa Wilaya ya Monduli kwaajili ya kutoa majibu ya changamoto mbalimbali zinazowakabili walimu,Ikiwemo swala la upandaji wa madaraja kwa walimu ambao wamecheleweshwa kupanda vyeo,kubadilishiwa muundo cheo baada ya kujiendeleza kutoka hatua ya cheti kwenda stashahada/shahada ya kwanza katika fani ya ualimu.

Akizungumza kwenye kikao hicho kilichohudhuriwa na walimu kutoka Wilaya ya Monduli pia amezungumizia juu ya madeni ya walimu kama mapunjo ya walimu (AREAS) kwa wale waliopandishwa madaraja nakuchelewa kulipwa mshahara mpya ameeleza kuwa serikali imejipanga na imejidhatiti namna ya kulipa madeni hayo.

Halikadhalika kwa upande wa madeni ya uhamisho ameeleza kwa wakurugenzi utaratibu ulioekwa kwaajili yakulipa madeni ya fedha za uhamisho na madeni hayo yote yanaendelea kulipwa.

Sambamba na hilo pia amezungumza kwa walimu swala la KPI yaani (performance key indicator) ofisi ya elimu msingi na sekondari kufanya ziara kuangalia utendaji kazi za kila siku katika shule zetu.

"Napongeza jitahada zinazofanyika kwa usimamizi mzuri wa miradi lakini pia sambamba na hilo tuna upungufu wa walimu shule za Msingi naomba mtukumbuke ajira zinapotoka kwani tumeanzisha shule mpya karibu nane na zote ni shule za msingi hivyo inatulazimu tuchukue walimu shule za zamani kwakufanya hivyo tunaleta upungufu pia kwa shule za zamani"amesema Mkurugenzi Mtendaji Bi.Happiness Laizer

Kwa upande wake Afisa elimu Mkoa Ndug.Abel Ntupwa ameshukuru ofisi ya Rais Tamisemi kufika Wilaya ya Monduli kwa lengo la kusikiliza changamoto za walimu na kwa kwa halmashauri ya Monduli ni nzuri haina tatizo.

Akihitimisha kikao hicho Dkt Msonde amewataka walimu kufanya utendaji kazi kwa makini na weledi ukizingatia walimu wamepewa dhamana ya kuwatunza na kuwalea pamoja na kuwafundisha watoto ili kutengeneza taifa Lililo bora.

Imeandaliwa na kitengo cha mawasiliano serikalini

Monduli

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli