• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATEULE WA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WAASWA KUFANYA KAZI KWA MUJIBU WA SHERIA.

Posted on: November 29th, 2024

Jumla ya Wateule wa Uongozi ngazi ya  mwenyekiti wa kijiji, kitongoji na wajumbe wa Halmashauri ya kijiji 337 walioshinda katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024 katika Kata za Engaruka, Selela, Mto wa Mbu, Majengo, Esilalei na Migungani katika Wilaya ya Monduli, ninawaasa kutekeleza Majukumu yenu mara baada ya kuapishwa na  kutenda kazi zenu kwa mujibu wa Sheria na taratibu za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hayo yamesemwa leo  Novemba 29, 2024 na Ndg. Sembere Siloma ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha huduma za sheria katika Halmashauri hiyo kwa niaba ya Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Monduli Bi. Happyness R. Laizer huku  akiwapongeza washindi hao kwa kupata nafasi hizo za Uongozi.

Ndg. Siloma amewaeleza kuwa ambaye hayupo katika zoezi hili la kuapishwa hataruhusiwa kuanza rasmi majukumu yake mpaka atakapo apishwa mbele ya Mhe. Hakimu.

Aidha, amewawataka viongozi hao waliopata nafasi kuwaongoza wananchi katika maeneo yao kwa miaka mitano  kuwa, mara baada ya kuapishwa na kuanza kazi rasmi kuhakikisha Wanafanya vikao vyote kama inavyoelekezwa ikiwemo mikutano mikuu ya vijiji, kusoma na kutoa taarifa za kila mwezi, kutoa taarifa za mapato na matumizi ya kijiji sambamba na kusimamia na kuibua miradi ya maendeleo katika vijiji na Kata zao.

Naye Abrahamu Logolie Mwenyekiti Mteule wa Kijiji cha Engaruka juu kwa niaba ya wenzake, ametoa shukrani zake kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na watendaji wake wote  kwa kuimarisha usalama na amani katika kipindi chote cha Uchaguzi huku akiwashukuru wananchi waliomchagua na kuwa ahidi kufanya kazi pamoja nao vizuri kwa maendeleo ya Jamii na Serikali kwa ujumla.

Ndg. Sembere Siloma amehitimisha kwa kusisitiza suala la uaminifu na uadilifu katika utendaji kazi katika kipindi chote cha miaka mitano.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli