• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATANZANIA WATAKIWA KUTOGAWANYIKA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU.

Posted on: April 23rd, 2025

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko amewataka wananchi Wilayani Monduli kutogawanyika kwa itikadi ya dini wala siasa hasa wakati huu tunapoelekea kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na madiwani kwa manufaa ya Watanzania na Taifa kwa ujumla.

Mhe. Dkt. Biteko ameyasema hayo leo Aprili 23, 2025 wilayani humo wakati akizungumza na wananchi katika eneo la Kata ya Esilalei mara baada ya kuzindua mradi wa maji katika Kijiji hicho na baadae katika eneo la Shule Mpya ya Sekondari ya Migungani One.

 " Ninatamani kuona hatugawanyiki wala hatuwekwi kwenye makundi ya dini na ukabila, niwaombe wananchi wa Monduli pendaneni na shirikianeni, uchaguzi utakapofika najuwa watakuja wengi bali ninyi chagueni kwa haki." amesema Mhe. Dkt. Doto Biteko.

Aidha, Mhe. Dkt. Biteko amewataka wananchi wa Monduli kuutunza mradi wa maji wa Esilalei pamoja na mradi wa ujenzi wa shule ya Sekondari Migungani One na miundombinu yake ili uendelee kutumiwa na watu wengine pia wajao.

Amewaasa Wanafunzi waliopo katika shule hiyo kutumia wakati huu kusoma kwa bidii kwakuwa ndio urithi pekee mzazi anaweza kutoa kwa mwanae kwa faida ya baadae.

Naye Mhe. Festo Kiswaga Mkuu wa Wilaya hiyo amesema kuwa Monduli ni Wilaya pekee ambayo shule zake zote za Sekondari ni za bweni hivyo ameahidi atahakikisha utunzaji wa Majengo hayo unakuwa mzuri.

Kwa upande wake Mhe. Fredy Lowassa Mbunge wa Jimbo hilo la Monduli amemuomba Mhe. Biteko kusaidia uwepo wa uzio katika shule hiyo ambapo Mhe. Dkt. Biteko ameelekeza mara baada ya kuanza kwa zoezi hilo msaada ukihitajika Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo awasiliane na OR- TAMISEMI ili uzio huo ujengwe.

Mhe. Dkt. Biteko amehitimisha kwa kuwapongeza Wizara ya Maji na RUWASA kwa kusimamia mradi huo vizuri na Pongezi nyingine kwa Menejimenti ya Monduli kwa kusimamia vizuri ujenzi wa shule ya Sekondari ya Migungani One.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli