• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAHESHIMIWA MADIWANI NA WATAALAMU HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI WAJIFUNZA MENGI, MWANZA JIJI.

Posted on: January 11th, 2025

Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli pamoja na Wataalam kutoka Idara mbalimbali Wilayani humo, Leo January 9, 2025 wamefika katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa lengo la kujifunza juu ya ukusanyaji wa mapato, usafi wa Mazingira na udhibiti wa taka pamoja na ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba.

Akiwakaribisha kwa upendo na bashasha Wakili Kiomoni Kiburwa Kibamba Kisagala ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza amewaeleza Waheshimiwa Madiwani pamoja na Wataalam kutoka  Monduli kuwa Jiji la Mwanza ni Jiji la pili Kitaifa kwa kukusanya mapato hivyo kwa dhima ya lengo la ziara hii, wamechagua Jiji sahihi kujifunza kwako.

Naye Bi. Amina Nassoro Makilagi, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana(Mwanza Jiji) ameeleza kuwa" Halmashauri ya Jiji la Mwanza ni Jiji la pili kwa kuongeza pato la Taifa kwani mara kwa mara limekuwa ni Jiji linalovuka malengo ya ukusanyaji wa mapato waliyojiwekea ambapo kwa sasa Halmashauri imejiwekea kukusanya jumla ya  bilioni 31." amesema Bi. Amina Makilagi

Akiwasilisha wasilisho la Idara ya Usafi na Mazingira Ndg. Desderius Polle Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Usafi na Mazingira amesema " shughuli za usafi zinafanywa na mawakala wa usafi walioingia mkataba na Jiji pia kwa kushirikisha Wadau mbalimbali na Wananchi kwa ujumla huku tukizingatia uwepo wa vifaa vya usafi na dustbins kila mahali; sambamba na kutumia gari la matangazo kuwakumbusha wananchi kufanya usafi katika Mazingira yao ikiwemo usafi wa kila Mwisho wa mwezi.

Aidha, Waheshimiwa Madiwani na Wataalam hao wamepata fursa ya kutembelea miradi mbalimbali ukiwemo mradi wa ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ambao umetoa fursa nyingi za ajira kwa vijana na Wanawake pamoja na kukuza uchumi wa Jiji hilo kwa kuuza mazao ya mradi huo.

Waheshimiwa Madiwani hao pamoja na Wataalam wamehitimisha ziara yao kwa kutembelea kisiwa cha Saanane kilichomo ndani ya ziwa Victoria ambako wamejionea vivutio mbalimbali ikiwemo mnyama Simba, pamoja na ndege wa aina mbalimbali akiwemo tausi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli