• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WADAU WA UCHAGUZI JIMBO LA MONDULI WAASWA KUTOA ELIMU YA KUJIANDIKISHA KWA WANANCHI.

Posted on: December 3rd, 2024

Afisa Uandikishaji Jimbo la Monduli Ndg. Emmanuel Richard Mpongo leo Desemba 3, 2024 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri hiyo, ameongoza kikao cha Wadau wa Uchaguzi chenye dhima ya kuwataka Wadau hao kutoa elimu kwa Wananchi ili wajitokeze kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la Mpiga kura zoezi linalotarajia kuanza Desemba 11 hadi 17, 2024.

Akizungumza na Wadau hao ambao ni Viongozi wa Dini katika Madhehebu ya Kikristo na Kiislamu, Malaigwanani, Viongozi wa makundi ya Vijana,  Viongozi wa makundi ya Wanawake pamoja na Viongozi wengine mbalimbali kutoka vyama vya Siasa; Ndg. Mpongo ameeleza umuhimu mkubwa uliopo katika kutoa elimu ya kujiandikisha katika daftari hilo kwakuwa wananchi wengi wanachanganya kati ya uandikishaji wa Daftari la Wakazi uliokwishafanyika na daftari la kudumu la Mpiga kura ambalo litatumika katika Uchaguzi Mkuu Oktoba, 2024.

Aidha, Ndg. Mpongo amesema " wanaotakiwa kujiandikisha  katika daftari la kudumu la Mpiga kura ni pamoja na wananchi waliotimiza miaka 18 na wale ambao kufikia Oktoba, 2024 watakuwa wamefikisha miaka 18, waliohamia Monduli awali walikuwa wakiishi Mikoa au Wilaya nyingine, waliopoteza kadi zao,  wenye kadi zilizoharibika au zisizo someka." amesema Ndg. Mpongo

Naye Ndg. Benjamin Kolla Mchungaji wa Makanisa ya Waadventista Wasabato (SDA) Monduli ameahadi kutoa ushirikiano mkubwa kwa kutoa elimu kwa washirika wake Wilayani humo ili washiriki kikamilifu katika zoezi hilo muhimu huku.

Sambamba naye, Ndg. Isaack Copriano Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli ameshauri viongozi wa Dini kupewa ujumbe sawa usio na mkanganyiko ili watangazapo wananchi waipate tofauti ya daftari la Wakazi na hili la kudumu la Mpiga kura huku akisema katika ziara zake atatoa hamasa hiyo ya kujiandikisha.

Kwa upande wake Ndg.  Ahmed Said Kisanda ambaye ni Shehe wa Wilaya ya Monduli ameshauri kuwa, kwakuwa muda wa hamasa ni mfupi tupewe vipeperushi vingi ili watu wanapo kusanyika katika maeneo ya Ibada wapewe vipeperushi hivyo ili ujumbe uweze kusambaa kwa haraka kwa ajili ya kuweka ufanisi katika zoezi hili.

Ndg. Mpongo amehitimisha kwa kuwasisitiza Wadau hao kupitia kauli mbiu kwamba " Kujiandikisha kuwa Mpiga Kura ni Msingi wa Uchaguzi bora."

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli