• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

UVCCM WILAYA YA MONDULI WAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATA YA ENGARUKA

Posted on: April 11th, 2023

Umoja wa Vijana chama cha Mapinduzi UVCCM Wilaya ya Monduli wameendelea na ziara yao ya kata kwa kata Wilayani monduli ambapo wakiongozwa na Mwenyekiti wa jumuiya Ndugu Panieli tutunyo wamefika katika kata ya engruka.

Mapema baada ya kufika katika kata hiyo wamekagua baadhi ya miradi inayotelelezwa na serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ikiwemo jengo la Maabara katika shule ya oldonyo lengai na ujenzi wa zahanati katika kata hiyo.

Ambapo katika ukaguzi wa miradi hiyo mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wilaya Ndugu Paniel Tutunyo ameonesha kuchukizwa na kasi ndogo ya utekelezaji wa miradi hiyo na kutoa wito kwa wasimamizi kuongeza kasi na kutekeleza kwa wakati uliopangwa.

Aidha Tutunyo amewataka vijana wa uvccm  kuwa na maadili mema katika jamii kwa kuwaheshimu wakubwa na wadogo pamoja na Viongozi wote katika jamii na kufanya kazi kwa bidii na kujituma..

Katika hatua nyingine amewata vijana kuendelea kuunda vikundi vya ujasiriamali ili kupata mikopo ya 10% zinazotolewa na Halmashauri ili kujiendeleza kiuchumi. huku akiwahasa kurudisha mikopo hiyo kwa wakati pindi watakapo pewa.

Kwa upande wake katibu wa Jumuiya hiyo Wilaya ya Monduli Ndugu Nurdin makamba ametumia jukwaa hilo kuwaahasa vijana kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za Uongozi katika maeneo yao ili kuleta chachu ya Maendeleo kwa jamii.

Nae katibu hamasa wa jumuiya hiyo Ndugu Alais Esoto ameupongeza Uongozi wa kata ya Engaruka na Serikali kuu kwa ujumla kwa utekelezaji wa miradi,  huku akiwataka vijana wa uvccm kusemea  na kupaza sauti kwa Yale yanayotekelezwa na chama cha Mapinduzi CCM.

Awali akizunguzma katibu wa Uvccm kata  Ndugu Thomas Lazaro amemuomba mwenyekiti wa jumuiya hiyo kufanikisha mradi wowote wa kiuchumi utakao wasaidia vijana wa kata hiyo akipendekeza mradi wa mashine ya kusaga ili kujikimu kiuchumi.

Hata hivyo, mkutano huo umehudhuriwa na diwani wa kata hiyo ambapo ametolea maelezo baadhi ya changamoto zilizobainishwa na vijana ikiwemo mikopo ya Halmashauri ambapo amesema mpka sasa kasi ya ugawaji wa mikopo hiyo kwa kata ya Engaruka inaridhisha licha ya kuwa vijana wengi bado wanahitaji zaidi.

Na Obed Emmanuel 

#UVCCMmonduli

#TEHAMA





Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli