• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SHEHENA YA MABOMBA YAANZA KUINGIA KWENYE MIRADI YA MAJI VIJIJI (13) WILAYANI MONDULI.

Posted on: June 1st, 2024

Shehena ya mabomba hayo yamepokelewa kijiji cha Mti mmoja na Mkuu wa Wilaya ya Monduli mhe.Festo Kiswaga kwa ajili ya usambazaji wa maji kwenye vijiji 13 ambapo kupitia mradi huo unao jegwa unazalisha maji milion 6 kwa siku na wananchi 60000 (elfu sitini)kutoka katika vijiji hivyo vilivyopo wilaya ya Monduli.


Kwa upande wake Mhe mbunge wa Jimbo la Monduli Fredrick Lowassa amemshukuru waziri wa Maji Juma Aweso kwa kuwajali wakazi wa wilaya ya Monduli katika secta ya maji kwani Monduli inaendelea vizuri.


Lakini pia mbunge amewataka wakandarasi waliosaini mkataba kwa ajili ya kazi hiyo kutendea haki mkataba wao kwa kufanya kazi kwa wakati ili kuweza kukamilisha ili wananchi wanufaike nahuduma ya maji,mhe.Fred amesisitiza nilazima kutendea haki mkataba wao wasipofanya hivyo kwa upande wake ataeka kazi yake matatani.


Vivyo hivyo Mbunge Fredrick Lowassa pamoja na Mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe.Festo Kiswaga wamempongeza meneja ruwasa Monduli ndug. Msaki, kwa utendaji wake wa kazi mzuri kwa weledi kwani ametimiza wajibu wake ipasavyo kwa kila mradi kwani kwa upande wa miradi ya Monduli umeisimamia vizuri Monduli ni Injinia Msaki ni mfano wa kuigwa anaeitwa kwa wakati kwenye mradi na kwenda lakini pia kujitahidi kukamilisha miradi kwa wakati.


Mkuu wa wilaya ya Monduli amemshukuru Mwenyekiti wa kijiji cha Mti mmoja kutoa eneo la heka 2.6 kwaajili ya sehemu yakujenga mradi wa maji lakini pia sehemu ya kuhifadhi mabomba ya maji.


"Wakandarasi imiliopewa kazi kamilisheni mradi kwa wakati sitokuwa na huruma na yeyote atakae cheza na fedha za serikali hapa mtakutana na chuma cha pua"amesema DC Festo.


Hitimisho,mkuu wa wilaya ya Monduli mhe.Festo kiswaga ameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwapendelea wananchi wa Monduli kwa kuleta miradi mingi ya maendeleo lakini pia amempongeza Mhe.Mbuge wa Monduli Frederick Lowassa kwani ni mbunge asiesikika kwenye majukwaa Bali anafanya kazi nyingi kwa vitendo.


@ortamisemi

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli