• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RAS MKOA MISSAILE MUSA AMEIPONGEZA MONDULI DC KWA USIMAMIZI MZURI WA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA UMMA.

Posted on: June 15th, 2024

Ras Mkoa amepongeza Halmashauri ya wilaya ya Monduli kwa usimamizi mzuri wa mapato na matumizi ya fedha za umma pamoja na usimamizi wa miradi ya maendeleo.


Amesema katibu tawala mkoa kwa halmashauri ya wilaya ya Monduli kwa miaka mitatu (3) mfululizo wamepata hati inayoridhisha kwamba matokeo haya yametokana kwakueka hoja zote sawa na kuepuka hoja zisizo kuwa za msingi.lakini pia pongezi za dhati kwa kujibu hoja zote vizuri na kuibua hoja nzuri za msingi.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri mhe.Isack Joseph Copriano amesema kuwa hoja zote zimepitiwa na wajumbe kwa kushirikiana na wataalamu kwenye vikao vya kisheria na kwa mwaka huu,asilimia kubwa hoja zimefungwa tofauti na miaka ya nyuma ambapo halmashauri ilikuwa na hoja kati ya 160 mpaka 180 hoja ambazo hazijafugwa.


"Ushirikiano uliopo baina ya madiwani na wataalamu wa ngazi zote wameendelea kutekeleza majukumu yao na kuhakikisha hoja zote za ukaguzi,zinafanyiwa kazi kwa kuzingatia vigezo na hadi kufikia hoja 8 kutoka hoja kati ya 160 mpaka 180 kipindi cha nyuma"amesema mwenyekiti wa halmashauri Isack Joseph.


Vivyo hivyo Mwenyekiti wa halmashauri amempongeza Mkurugenzi Mtendaji bi.Happiness Laizer kwa kuwa msitari wa mbele kwa usimamizi mzuri wa mapato ya Halmashauri ya wilaya ya Monduli kwani hatua nzuri ya kuridhisha katika ukusanyaji wa mapato lakini pia kwakuwa naushirikiano mzuri wa uthubutu wa kushirikisha kila jambo hasa fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi.


"Tulikuwa na hali mbaya Sana lakini kwa mwaka 2022/2023 halimashauri yetu ina hoja nane tu (8) ambazo ziko kwenye hatua za utekelezaji na tunategemea mwaka ujao wa fedha kufikia sifuri"amesema mhe.Isack mwenyekiti halimashauri.


Mwisho,mhe.isack Joseph ameshukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kazi kubwa inayofanywa kwenye wilaya ya Monduli kwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali kama vile maji,afya,barabara,Elimu,Pamoja na utawala,miradi ambayo imerahishisha upatikanaji wa utoaji wa huduma kwa wananchi wa Monduli.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli