• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

PWC YAWATUA NDOO KICHWANI WANAWAKE WA MONDULI

Posted on: April 26th, 2025

Shirika lisilo la Kiserikali la Pastoralist Women Council linalofanya kazi zake katika Wilaya tatu za Monduli, Longido na Ngorongoro Mkoani Arusha limeendelea kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan za kumtua mwanamke ndoo kichwani, kwa kujenga miundombinu ya Maji itakayoiwezesha Jamii ya kifugaji ya Monduli kupata Maji ya kutosha kwa matumizi ya nyumbani na mifugo pia.

Akizungumza na wananchi kwa nyakati tofauti katika Kata ya Esilalei na Engaruka Mhe. Festo Shem Kiswaga Mkuu wa Wilaya ya Monduli amelipongeza Shirika hilo la PWC kwa kuichagua Monduli kuwa Moja ya Wilaya tatu za kunufaika na mradi huo wa Maji.

Akisoma taarifa ya utekelezaji wa Mradi huo Bi. Nalemuta Ndonyo Mratibu wa haki na Uongozi wa Shirika hilo la PWC amesema Mradi huu wa MajiUnagharimu jumla ya shilingi milioni 580 ambapo Serikali kupitia RUWASA wameongeza jumla ya shilingi milioni 100 ili kuhakikisha Mradi unakamilika kwa wakati.

Ameongeza kusema kuwa Shirika limetoa jumla ya tank za  Maji 50 za Lita  5000 kwa ajili ya kuhifadhi Maji, wamejenga majiko 50 ya kupikia, wametoa mafunzo ya ufundi (cherehani na umeme) kwa vijana19 na vijana wengine 20 wako shule pamoja na kutoa jumla ya mbuzi 273 kwa Wanawake 85 ili kuwawezesha kukua. kiuchumi

Kwa upande wake Eng. Msaki kutoka RUWASA Monduli amethibitisha Serikali kuchangia milioni 100 katika mradi huo lakini pia kufanya utafiti wa maeneo rasmi ya kuweka vyanzo vya mradi huo.

Mhe. Kiswaga amehitimisha kwa kuwataka wananchi kuzipokea NGO'S kama PWC zenye lengo zuri la kuboresha maisha ya Watanzania huku akikemea viongozi na wananchi wote wanaochochea Jamii kupinga suala la uwekezaji.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli