• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MPANGO WA AWALI WA BAJETI YA LISHE WAJADILIWA - MONDULI.

Posted on: December 17th, 2024

Bi. Pamela Ijumba Mkuu wa Divisheni ya Kilimo na Mifugo kwa niaba ya Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Bi. Happiness R. Laizer leo  Desemba 17, 2024  katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri hiyo, amefungua kikao kazi cha kujadili mpango wa awali wa bajeti ya Lishe kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Akizungumza katika kikao hicho Bi. Pamela amesema " Lishe bora ni suala muhimu sana katika jamii na uzingatiaji wake unatusaidia kuondokana na Masuala ya udumavu kwa Watoto pia kuwa na kizazi chenye Afya na akili njema. " amesema Bi. Pamela

Aidha, Bi. Pamela ameitaka Idara ya Afya na Elimu kuendelea kutoa elimu ya Lishe  kwa jamii na kwa Wanafunzi pia huku akisisitiza utoaji wa vitamini 'A' na virutubisho kwa Watoto wachanga ikiwemo kuzingatia ulaji wa Lishe bora kwa Wanafunzi wawapo mashuleni.

Akitoa wasilisho la hali ya Lishe la Mkoa wa Arusha Bi. Dotto Milembe, Afisa Lishe kutoka Mkoani amesema kuwa bado iko sababu ya kuendelea kutoa elimu ya lishe kwa jamii kwani changamoto ya anemia kwa mama wajawazito na uzito mdogo kwa Watoto kutokana na Lishe mbavu Wilayani Monduli bado ipo kwa takeimu za 272 Wanawake na 15758 kwa Watoto.

Bi. Dotto ameshauri Wanawake wenye changamoto ya anemia wapewe vidonge vya kuongeza damu ili kupunguza tatizo la vifo vya akina Mama hao wakati wa kujifungua huku akishauri uzalishaji wa vyakula bora, uwepo wa bustani za mboga mboga mashuleni pamoja na uanzishwaji wa klabu za Lishe mashuleni ili elimu ya ulaji sahihi wa vyakula vyenye virutubisho ienee kuanzia shuleni hadi kwa Jamii yote.

Kwa upande wake Dkt. Kasibante Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Monduli amesisitiza kuwa Mpango wa awali wa bajeti uliojadiliwa, baada ya maboresho kwa maeneo yaliyopendekezwa na wajumbe, yazingatiwe ili bajeti mpya ijayo maeneo hayo yapewe kipaumbele ili Wilaya ya Monduli iweze kufikia malengo katika Masuala ya Lishe bora.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli