• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKABIDHI GARI YA DHARURA (AMBULANCE) HOSIPITALI YA WILAYA YA MONDULI.

Posted on: February 5th, 2024

MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKABIDHI GARI YA DHARURA (AMBULANCE) HOSIPITALI YA WILAYA YA MONDULI.

Akizunguzungumza na wananchi pamoja na Wauguzi Hospitalini. Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe.Joshua Nassari  amesema kwamba kama kuna sekta ambazo zimeguswa kupitia serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe.Dtk Samia Suluhu Hassan  kwa kipindi kifupi kwamaana ya miundo mbinu ya majengo,vifaa tiba,miundo mbinu ya vyombo vifaa vya usafiri,wataalamu kuongezwa ni sekta ya afya.

"Namuaidi Mh.Rais DKt.Samia Suluhu Hassan kwamba tutalinda fedha na vifaa tulivyoletewa kwa umakini na niombe tu Mwenyekiti kwamba wasipewe madereva ambao hawana uzoeefu ili kutunza rasilimali zetu" 'Amesema Nassari'

Kwa upande wake Dkt Lengai Edward Mganga mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli amesema kwa upande wa sekta ya afya mpaka sasa tumeshapokea magari mawili kwa kipidi kifupi  kwanza mwezi uliopita mwezi wa 12 Disemba tumepokea gari aina ya (toyota land cruser) kwaajili ya usimamizi shirikishi kwani imekuwa msaada kuvifia vituo.Na gari nyingine ni (ambulanca) gari ya dharura ambapo gari hii itakwenda  kuwezesha huduma ya dharura kwa wagojwa.

Queen Fred ni Mkazi wa Monduli mjini amemshukuru Dkt Samia Suluhu Hassani Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzani kwa kuwaletea gari ya dharura yaani (ambulance) kwani litasaidia kuokoa maisha ya wananchi wengi lipohitajika kutumika kwa haraka.

"Rai yangu kwa watumishi wa afya kazi zinazofaywa na serikali tunataka tuzione  pia kwenye utoaji huduma za afya.tuwe na moyo wakuhudumia wagojwa mahospitalini lakini pia kujituma kwa bidii."amesema Nassari.

Imeandaliwa na :

Kitengo cha mawasiliano serekalini


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli