• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA YA MONDULI AHUDHURIA MKUTANO WA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI KATA MAKUYUNI

Posted on: January 30th, 2024

Akizungumza na wananchi wa kata ya makuyuni amewahakikishia wananchi hao  kwamba kero zao zitatuliwa nakusikilizwa napia utekelezaji wa utatuzi wa kero zao kwa haraka.

Kwa upande wake mkazi wa kijiji cha Oldonyo bwan.KERIKA MATUNI MOLLEL ameeleza kero yake mbele ya mhe.mkuu wa wilaya  kero hiyo inayohusu ardhi eneo la malisho ya mifugo.kwani wamekuwa wakipata tabu na askari kuwasumbua kupisha eneo hilo.ambapo kaimu mkurugenzi Bi.Rose Mhina  amemueleza kuwa  kwa kuwa afisa ardhi yupo hapa kero yako itatatuliwa.


Sambamba na hilo mkuu  wa kitengo cha afya amewaeleza wanchi  wa kata ya Makuyuni kuwa serikali ya awamu ya sita kupitia ofisi  ya  Tamisemi wamepokea taarifa kwamba ifikapo mwaka  2024/2025 mwaka mpya wafedha sehemu  iliyobakia ya ujenzi wa jengo  hilo la kituo cha afya utakamilishwa.

Hatua hivyo wakazi wa Makuyuni wakiwakilisha kero ya swala la umeme wa rea kufika vijijini...Mhandisi wa wilaya bwan. yusuph Mchoro awajibu mpaka kufikia mwezi wa kumi mbili tiari vijiji vyote vimeshaandikiwa hivyo mwaka mpya wa fedha mwezi wa saba mwakani umeme utawaka vijijini.

Akihitimisha mkuu wa wilaya ya monduli mhe.Joshua nassari amewataka wakazi wa kijiji cha Moita kutulia kwa utulivu kwani yeye pamoja na kamati ya usalama watakwenda kutembelea eneo la ardhi Moita nakuitatua kero yao.pia ameshukuru serikali ya awamu ya sita chini ya rais SAMIA SULUHU HASSANI kwa kuwaletea fedha kwa ajili ya maendeleo hasa katika sekta ya afya na elimu.n.k.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli