• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MITUNGI 50 YANISHATI SAFI YATOLEWA KWA MAMA LISHE NA BABALISHE

Posted on: April 18th, 2025

Mitungi hamsini (50)  ya Nishati  safi (Gesi) imetolewa bure kwa Mama lishe na Baba lishe Wilaya ya Monduli, ikiwa ni moja  ya mkakati Kabambe wa mapinduzi ya matumizi ya nishati isiyo safi yaani mkaa na kuni iliyokuwa ikitumiwa na Watanzania walio wengi.

Mpango mkakati huu  ulioanzishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan  una lenga kuboresha  maisha ya watanzania kwa kuwafanya waondakane  na matumizi ya nishati isiyo safi ya kuni na mkaa ambayo kwa namna nyingine imekuwa ikichangia kwa kiasi kikubwa uharibifu wa Mazingira kwa kukata miti hovyo ili kuchoma mkaa.

Akizungumza wakati wa zoezi la ugawaji wa mitungi hiyo ya gesi Mhe. Festo Shem Kiswaga amesema " Huyu Mama anataka atuondoe kwenye umaskini; Ukiona Kiongozi mkubwa wa nchi katika hotuba zake anazungumzia suala la kuondoa matatizo na  changamoto kwa watu wa chini basi ujuwe huyo ni kiongozi." Sasa 'Tuseme Moshi basi' .  amesema Mhe. Kiswaga

Naye Ndg. Isack J. Copriano Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo amesema kuwa Rais Samia ameendelea kuwa Rais wa mfano katika nchi yetu hivyo tuendelee kumuombea Mhe. Rais kwa jinsi anavyo wajali Watanzania na Wana monduli.

Kwa upande wake Dkt. George Kasibante kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Bi. Happiness R. Laizer, amesema " Tunatambua kazi mnayoifanyo huko ya kuhakikisha Watanzania wanashiba na wanafanya kazi ya kuzalisha  uchumi, na Mama Mhe. Samia ameona atoe majiko ili mpunguze kutumia kuni na mkaa. Amesema Dkt. Kasibante

Naye Ndg. Paulo Mollel Baba Lishe na Mkazi wa Mswakini Wilayani humo amemshukuru Mhe. Rais  Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia nishati hiyo ya kupikia ambayo itawapunguzia adha ya kutafuta kuni na mkaa na hata kuboresha biashara zao huku akisema " Mama mitano Tena".

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli