• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MBUNGE WA JIMBO LA MONDULI FREDRICK LOWASSA AGAWA VIFAA VYA TEHEMA KWA SHULE NNE ZA MSINGI

Posted on: April 5th, 2023

Mbunge wa jimbo la monduli Mhe. Fredric Lowassa amegawa Vifaa vya TEHAMA ikiwemo Computer na Projector kwa shule nne za msingi za wilaya hiyo ambapo ni utekelezaji wa ahadi yake aliyo iahidi wakati wa mashindano maalum ya kimichezo kwa shule za msingi  yaliyofanyika mwaka jana na kuhusisha shule za msingi wilaya ya Monduli, ambapo mmbunge alihidi zawadi kwa mshindi pamoja na shule tatu za pembezoni.

Mhe. lowassa amesema utekelezaji wa ahadi hiyo ni sehemu ya kuboresha elimu kupitia michezo katika wilaya hiyo, huku akikiri kuwa amepokea taarifa ya mabadiliko mazuri ya kitaaluma baada ya mashindano hayo, na kuahidi kuendelea kutoa motisha zaidi.

katika zoezi hilo la ugawaji wa vifaa hivyo pia limehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe Joshua Nasary ambapo amempongeza mbunge Fredric kwa motisha hiyo anayo itoa huku akiwahasa waalimu kutumia vifaa hivyo kuwafundisha wanafunzi kwa vitendo badala ya Nadharia pekee.

Mhe Nasari Amemhasa mbunge kuendelea kutoa motisha hiyo kwa shule zingine za wilaya ili kuboresha uwezo wa wanafunzi katika sayansi na Teknolojia ambayo imeongeza kiu ulimweni.

Mwalimu Prosista Shayo ni afisa elimu taaluma Wilaya ya Monduli kwa shule za msingi amesemea idara ya Elimu inamshukuru mbunge lowassa kwa utekelezaji wa ahadi iyo kwani michezo na elimu ni kitu kimoja na michezo inasaidia kukukuza taaluma zaidi.

kwa upande wake Mwalimu Richard Ngoda ambae ni afisa michezo na tamaduni wilaya ya Monduli amesema kwa juhudi hizo za Mhe lowassa zitasaidia kuiongezea michezo dhamani na kuchochea mwamko kwa shule zile zilizo puuza dhana ya michezo.

huku waalimu wa shule zilizopokea zawadi nao wakishukuru kwa mkono huo wa ahsante wa mhe mbunge.

Zawadi hizo za vifaa vya tehama imetolewa kwa shule nne za msingi wilaya ya Monduli ambayo ni Losingirai, lesimingori, loksale na shule ya msingi manyara ranch

licha ya kwamba mashindano hayo yalihusisha shule za kata zote ndani ya wilaya ya Monduli ambapo kwa kila kata pia walifanikiwa kupokea zawadi ya jezi kwa washindi wa ngazi ya kata.  katika mashindano hayo Shule ya msingi manyara rench iliibuka kidedea.

Na Obed Emmanuel

Ofisi ya TEHAMA

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli