• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAFUNZO KWA VYAMA VYA SIASA KUTOLEWA MONDULI

Posted on: October 26th, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Monduli (DAS)  Ndg. Muhsin Kassim leo Oktoba 26, 2024 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli amefungua mafunzo ya siku moja(1) kwa vyama vya Siasa Wilaya ya Monduli yenye lengo la kutoa elimu kwa UMMA kuhusu Sheria zinazosimamiwa na Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Akifungua  mafunzo hayo Ndg. Muhsin kassim amewataka wajumbe wa mafunzo hayo kuwa makini na wasikivu wakati wote wa mafunzo, ili waelewe vema yote yanayofundishwa na wanapo maliza mafunzo hayo wakawe mabarozi wema kwa kutoa elimu hiyo kwa wananchi bila kujali aina za vyama vyao kwa kuwa Amani ya nchi ni tunu na faida kwa wananchi wote wa Tanzania.

Aidha, Ndg. Muhsin Kassim amewaeleza wajumbe hao kutoka vyama vya Siasa Wilaya ya Monduli  kuwa anaamini Uchaguzi huu utakuwa wa haki na Amani kwani Serikali kupitia vyombo vya usalama imejipanga  na inaendelea kusimamia vema hali ya utulivu na amani.

Naye mtoa mafunzo hayo Ndg.  Emmanuel David Msengi Afisa kutoka Ofisi ya Msajili wa vyama vya Siasa Nchini amewaeleza wajumbe hao kutoka vyama vya Siasa Wilaya ya Monduli utoaji elimu ya uraia kwa vyama vya Siasa na demokrasia, huku akiwataka kuzingatia Sheria, kanuni na maadili ya vyama vya siasa katika kuratibu mikutano ya hadhara katika kipindi hiki cha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Kwa upande wake Ndg. Remmy E. Rummas Katibu wa Chama cha Chadema Wilaya ya Monduli ameiomba Ofisi ya Msajili kusimamia watu wote wanaofanya dhihaka kwa vyama vingine kwa kushusha bendera ya vyama hivyo wakati wa kampeni na wakati wa Uchaguzi wachukuliwe hatua ilikuendelea kulinda amani na Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa uende vizuri kwakuwa Uchaguzi huu ukienda vizuri hata uchaguzi ujao utamaluzika salama.

Kwa upande  wake mjumbe wa Chama cha mapinduzi (CCM) Bi.Beatrice J.Maudiya amewataka wajumbe wengine kutoka vyama vingine vya Siasa kuachana na dhana za miaka iliyopita katika Uchaguzi na kuwataka wajumbe wa vyama vyote vya Siasa kueleza sera zilizonzuri ambazo zitawavusha Watanzania katika miaka mitano ijayo na sikutoka kashfa majukwaani ili uchaguzi wa haki na amani.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli