• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KIWILAYA KUFANYIKA KATIKA KATA YA MAJENGO TAREHE 14.6.2024.

Posted on: June 14th, 2024

Maadhimisho ya mtoto wa Africa wilaya ya Monduli yamefanyika kata ya Majengo tarehe 14.6.2024 ambapo maadhimisho hayo yalilenga kumuelimisha mtoto pamoja na kumlinda mtoto katika malezi bora kwa kuhakikisha watoto wanapata haki zao za msingi.


Halmashauri ya wilaya ya Monduli imekuwa ikiratibu masuala yanayohusu watoto kwakushirikiana na wadau mbalimbali kwa lengo la kuhakikisha watoto wanakuwa salama na wanapatiwa haki zao za msingi.


Kwaniaba ya mkuu wa wilaya ya Monduli katibu tawala wilaya ndug.Muhsin kassim amesema kuwa baadhi ya mila na mitindo ya maisha inamadhara na kudhalilisha utu wa mtanzania hasa mtoto wa kike ikiwa ni pamoja na ukeketaji njia inayotumiwa na baadhi ya makabila ya kumvusha rika mtoto wa kike.licha ya kumdhuru mwilu,lakini inamuandaa mtoto wa kike kuingia katika mahusiano ya kimapenzi na ndoa katika umri mdogo.


Amesisitiza Das wilaya kwamba,ili kuhakikisha kwamba wazazi na walezi wanatoa malezi chanya kwa watoto wetu ili wastawi na kukua vema hatuna budi kuyazingatia mambo makuu matatu,

*kumtimizia mtoto mahitaji yake ya msingi,yakijumuisha chakula chenye lishe huduma za afya,elimu na mavazi na malezi.

*mtoto alidwe dhidi ya vitendo vya ukatili.

*mawasiliano mazuri yaimarishwe kati ya mzazi na mtoto.


Sambamba na hilo katibu tawala wilaya ya monduli ametoa vyeti kama pongezi na keki ndogo kwa wadau mbalimbali na mashirika pamoja na taasisi mbalimbali zinazohudumia watoto wilaya ya Monduli na waliofanikisha maadhimisho hayo kufanyika kwa michango mbalimbali.


Maadhimisho hayo yaliyobeba kauli mbiu inayosema "Elimu jumuishi kwa watoto izingatie maarifa maadili na stadi za kazi"kauli mbiu hii iwakumbushe wazazi au walezi na jamii katika utoaji elimu inayojumuisha watoto wote,isiyobagua mtoto kutokana na hali yake,elimu itolewe Bila kujali jinsia,tabaka,umri,dini,lugha,maoni ya kisiasa,ulemavu,hali ya kiafya,ulemavu,n.k.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli