• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KIKAO KAZI CHA KAMATI YA AFYA KUHUSU MPANGO SHIRIKISHI JAMII NA HARAKISHI WA CHANJO YA UVIKO 19 HALMASHAURI YA MONDULI

Posted on: September 27th, 2021

Wajumbe wa kikao Maalum cha kamati ya Afya ya msingi na harakishi wa chanjo ya UVIKO 19 Katika halmshauri ya wilaya ya Monduli wameagizwa kuhakikisha wanatoa elimu ya kutosha kwa jamii kuhusu chanjo ya UVIKO 19 ili kuongeza hamasa ya kupata chanjo kwa wanchi. 


Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe. Frenk Mwaisumbe wakati akifungua kikako hicho leo 27.09.2021 katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya monduli ambapo amesema ili kuhakikisha wananchi wanapata mwamko wa kupata chanjo ni lazima kila mmoja awe tayari kutoa elimu  popote alipo bila kujali mazingira atakayo kuwepo.


Amesema kumekuwa na maswali mengi kutoka kwa kwa wanachi juu ya chanjo hiyo ya UVIKO 19 hivyo kuna haja ya kujitolea kwa hali na mali kujibu maswali hayo ili wananchi waendelee kuongeza uelewa na kuondoa mashaka juu ya chanjo hiyo.


Amesisitiza kuwa ili kuepuka vifo vinavyo sababishwa na ugonjwa Wa huo wa UVIKO 19 ni lazima kuchukua wajibu huo wa kutoa elimu na hamasa kwa jamii  kama kazi zingine za kila siku.


Naye Mganga mkuu wa Wiliaya Dkt. Lengai Edward amesema kwa takriban miezi miwili sasa tangu kuanza kutolewa chanjo ya UVIKO 19 nchini hakuna madhara yeyote ya kiafya yaliyo ripotiwa miongoni mwa walio chanjwa hali inayo thibitisha usalama wa chanjo hiyo.


Amesema hadi kufikia tarehe 26.09 2021 ndani ya wilaya ya Monduli idadi ya wananchi walio chanjwa wamefikia 1,777 sawa na 48.7% ya malengo waliyo wekewa na wizara ya afya ya kufikia watu 3,650 sawa na 100%.

Aidha amesema kwa sababu hiyo ndiyo maana serikali imeamua kuanzisha mpango shirikishi jamii na harakishi wa kuongeza kasi ya utoaji wa chanjo ya UVIKO 19 Kwajili ya kufikia sehemu kubwa ya Jamii, ambapo chini ya mpango huo idadi ya vituo vya kutolea huduma vimeongezeka ambapo kwa wilaya ya monduli awali kulikua na vituo vitatu na sasa vitaongezeka hadi kufikia vitoa 22.


Lengo la kikao hicho kwanza ni  kuwajengea uwezo viongozi mbali mbali wa makundi ya jamii wakiwemo viongozi wa kidini, kimila,serikali na watu mashuhuri ili kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusiana na usalama na umuhi u wa chanjo ya UVIKO 19 kwa mtu mmoja mmoja na kwa Taufa kwa Ujumla.


 Pili ni kuweka mikakati ya pamoja ya namna ya kufikia sehemu kubwa ya jamii ya wana monduli kwa elimu na huduma ya chanjo ili kuyafikia malengo kwa asilima 100 ifikapo tarehe 14.10.2021.


Baadhi ya wajumbe walio hudhuria kikao hicho maalum wakiwemo viongozi wa dini wametoa mchango wao ambapo Askofu Mkuu wa Makanisa ya  Peace Evangelical Churches Askofu Jacob Mwaigaga Amesema kuna haja ya kupita nyumba kwa nyumba kutoa Elimu hamasa kuliko kuwaita wananchi kwenye mikutano kwani watahudhuria wachache zaidi.


Naye sheak wa Msikiti wa Mto wa Mbu Sheak Nasibu Idd Nasibu amekihakikishia kikao hicho kuwa kama mwakilishi wa Viongozi wa dini atakua mstari wa mbele kutoa elimu na hamasa kwa wananchi.


Imeandikwa na Kuchapishwa na 

Obed Emmanuel

Ofisi ya TEHAMA Halmashauri ya Monduli

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli