• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KIKAO CHA KAMATI YA ELIMU AFYA NA MAJI

Posted on: January 15th, 2025

Mwenyekiti wa kamati ya Elimu,Afya na Maji Mhe.Loth Tarakwa ambaye ni Diwani wa kata ya  Meserani Wilayani Monduli, leo Januari 15 ,2025 katika ukumbi wa Halmashauri hiyo ameongoza kikao hicho chenye lengo la kujadili masuala mbalimbali  ya kielimu, afya na maji ili kuboresha Elimu , afya na upatikanaji wa maji Wilayani Monduli.

Akiwasilisha taarifa  ya robo  ya pili kwa mwaka wa fedha  2024/2025 Bi.Magreth Muro Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Monduli amesema "viwango vya ufaulu Kwa kidato cha nne vimepanda  kutoka  98% Mwaka 2023 hadi 99% Mwaka 2024 Kwa daraja la kwanza."amesema Bi.Magreth Muro

Kwa upande wake Mhe.Thomas  Meiyan Diwani  wa Kata ya Monduli juu, amezugumzia tatizo la mimba mashuleni  Kuwa  ni suala linalorudisha nyuma Upandaji wa viwango vya ufaulu huku akisisitiza wazazi wa Wanafunzi hao kuelimishwa juu ya kuwarudisha shuleni Wanafunzi waliopata changamoto ya ujauzito  zaidi ameshauhauri Wanafunzi hao kupewa ushauri  ili waone umuhimu wa kurudi shuleni.

Kwa upande wa Elimu Msingi Ndg. Kirusha Laizer kwaniaba ya Afisa elimu Msingi amesema suala la mimba katika shule za Msingi  limepungua kutokana na juhudi  mbalimbali  zinazofanywa na walimu na wadau  wa elimu.

Naye Dr.George Kasibante ambaye ni Mganga Mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Monduli ameieleza kamati hiyo kuwa, hali ya huduma za  afya  katika Halmashauri  hiyo imeboreshwa  na huduma za afya zinatolewa  vizuri kwa kuzingatia utoaji  bora wa huduma (customer care)  katika hospatali,zahanati na vituo vya afya.

Aidha Dr.Kasibante amesema kuwa kwa mwaka huu hadi Sasa Halmashauri imepokea watumishi wapya 79 hivyo kuongeza nguvu kazi katika sekta hiyo na kwamba , vifaa tiba na dawa vinapatikana katika hospatalizi,  Zahanati na vituo vya afya sambamba na kuboresha  huduma za lishe kwa watoto waliochini ya miaka miatano (5) huku miundombinu  ya afya inaendelea kuboreshwa.

Akihitimisha kikao hicho Mhe.Loth amesisitiza utekelezaji wa maazimio yaliyowekwa na kamati, huku akisisitiza utoaji wa elimu kwa wazazi  wa wanafunzi waliopata ujauzito shuleni ili waone umuhimu wa  kuwarejesha wanafunzi  hao shuleni.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli