• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HUNDI YA MILIONI 589 YAKABIDHIWA KWA VIKUNDI VYA MIKOPO MONDULI

Posted on: April 4th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe.Festo Shem Kiswaga leo Aprili  4, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya hiyo amekabidhi hundi ya shilingi Milioni 589 kwa vikundi vilivyokidhi kupewa mikopo.

Akizungumza katika hafla hiyo Mhe.Kiswaga  amesema Kuwa mikopo hii Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye amelenga kuinua uchumi wa Watanzania wote mijini  na vijijini hivyo pesa hizi zitumike vizuri kwa malengo yaliyokusudiwa,kwanamna  mlivyoomba  kwenye makundi yenu.*-

Akisoma taarifa ya utoaji wa mikopo  Ndg.Lawi ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Maendeleo ya Jamii Wilayani Monduli amesema Kuwa jumla ya shilingi milioni  589 inayotolewa timu ya menejimenti ya kamati ya uhakiki ya Wilaya  imependekeza vikundi 36 kupatiwa mikopo ambapo ni katika mchanganuo  huuu, vikundi 24 vya wanawake,11 vya vijana, na kikundi kimoja cha watu wenye ulemavu.

Bi.Happiness  R. Laizer ambaye ni  Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Monduli amewapongeza wanavikundi  waliyokidhi vigezo vya kupatiwa mikopo hiyo nakuwataka kutumia  fedha hizo Kwa malengo yaliyowekwa na kikundi ili kuweza kufanikiwa katika biashara na kujiinua kiuchumi Kwa ujumla.

Kwa upande wake  Bi. Lidya Mauki  ambaye ni Mkuu wa TAKUKURU  Wilaya ya Monduli, amewapongeza wanufaika hao wa mkopo huku akiwaeleza kuwa pesa  wamekopeshwa bila riba hivyo ni vyema kuwa waaminifu na kuweza kurejesha na asitokee mtu adanganye apewe fedha hizo kwani fedha hizo zimetolewa na Dkt.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Neema Kichuya,ni mnufaika wa Mkopo Kwa niaba ya wanufaika wenzake ameishukuru Serikali ya awamu ya sita  chini ya Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa kuwapatia fedha za mikopo ambayo itawasaidia kiimarisha uchumi wao kwa  maendeleo binafsi na Jamii Kwa ujumla.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli