• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

FREDRICK LOWASSA AIOMBA SERIKALI KUITAZAMA MTO WA MBU KUTOKANA NA MAFURIKO

Posted on: April 7th, 2023

Kutokana na Mvua nyingi zinazoe endelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini na kusababisha adha kwa wakazi wa baadhi ya maeneo ikiwemo mafuriko na uharibifu.

Mbunge wa Jimbo la Monduli Mhe. Fredrick Lowassa amelitembelea eneo la bonde la ufa mto wa Mbu amablo nj miongoni mwa kata zinazoiunda wilaya ya monduli na ni miongoni mwa maeneo yalio kumbwa na mafuriko kipindi hiki cha mvua ili kujionea khali ya uharibifu katika eneo hilo.

Baada ya kufika katika eneo hilo Mhe. Lowassa (mb) alizungumza na Viongozi pamoja na Wahanga wa mafuriko hayo (Wanamchi) ambapo alikiri kwamba hali ya eneo hilo airidhishi hivi sasa hivyo ameiomba Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kulitazama eneo hilo kwa jicho la Huruma na kulitafutia ufumbuzi kudumu.

Alisema eneo hilo la Mto wa Mbu limekua likikumbwa na mafuriko mara kwa mara licha ya kwamba wataalamu wamekua wakifika kufanya tadhmini baada ya mafuriko lakini mpaka hivi sasa hakujapatikana ufumbuzi wa changamoto hiyo.

Aidha Alisema ni wakati sasa wa Kuchukua uamuzi na kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo kwa wakazi wa mto wa Mbu huku akiwarai wakazi hao kuwa mstari wa mbele kuanza kufanya tathmini kwa kuandika na kuifahamu dhamani ya mto wa mbu kwani wao ndio wanao jua maeneo korofi yanayo sababisha athari.

"Kabala hatujaenda kupambana na Serikali tuyafanye yale kwanza ambayo sisi tunayamudu kwani yale ambayo tunayamudu ndio na mimi naweza kuingiza mkono Wangu kama mbunge wenu na hayo mengine lazima tuya documents kutuma Kwenye Serikali"

"Kazi  hii ambayo tunaweza kuifanya wenyewe kama kufukua mitaro naomba tuanze kuifanya wenyewe kwa kuwatumia vijana wetu waanze kufanya kazi hiyo na ni lazima watambue kuwa hii ni changamoto"  amesema Lowassa.

Mhe. Lowassa alisema chanzo kikubwa cha mafuriko hayo ni mito kuziba hivyo wataanza na zoezi la kusafisha mito kwa kushirkiana na Uongozi wa mkoa na kuiwasilisha taarifa bungeni ifike kwa waziri mwenye dhamana na ianze kufanyiwa kazi kwanzia mwezi July mwaka huu.

Alisema kuna haja kubwa ya Serikali kuitazama Mto wa Mbu kwasababu Eneo hilo ndilo lango kuu la mapato makubwa ya Serikali kupitia utalii kwani eneo hilo ni njia kuu inayo unganisha hifadhi za taifa ikiwemo Ngorongoro, Manyara pamoja na Serengeti ambazo ni hifadhi tajika kitaifa.

"kata ya mto wa Mbu yaani bonde hili ndilo lango kuu la mapato yote makubwa ya utalii ya Serikali ya Tanzania, lazima ifike wakati Serikali itoe majibu ya uhakika kuhusu hali halisi ya Mto wa Mbu " amesema Lowassa.

Hata Hivyo, amesema lazima changamoto hiyo ijibiwe na serikali kwa  kupitia andiko la kudumu litakalo husu eneo lote la Mto wa Mbu pamoja na namna ya kupunguza tope kwenye ziwa manyara lilipo Mto wa Mbu ili kuliokoa eneo hilo.

Aidha katika kuhitimisha ombi hilo ameendelea kuwahidi wananchi wa Mto wa Mbu kuwa ataendelea kuiomba Serikali kwa msisitizo zaidi kwa kupitia Bunge kutatua changamoto hiyo pamoja na changamoto zingine za miundombinu tajika katika kata hiyo.

Na Obed Emmanuel

TEHAMA

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli