• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC KISWAGA AZINDUA MRADI WA NYUMBA YA WALIMU LOOLERA

Posted on: October 29th, 2024

Nimegundua Wananchi wa Kijiji cha Loorela wakulima na wafugaji hawana shida katika kuchangia miradi ya maendeleo katika eneo lao hasa katika hili la u jenzi wa nyumba  ya walimu. kwani maneno haya yanathibitika kupitia hiki kinachoonekana hapa leo. Baada ya kuomba kujengewa  nyumba ya walimu tiyali wamechukua hatua ya kuleta kokoto, mchanga bila hata kusubiria.

Hayo yamesemwa leo Octoba 29, 2024 na Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe.Festo Shem Kiswaga wakati akizidua ujenzi wa nyumba ya walimu (two in one) wenye thamani ya Tsh.92.4 katika Shule ya Msingi Loorela Kijiji kinacho nufaika na mpango wa kaya maskini inayotarajiwa kuwa na vyumba vitatu (3) vya kulala.

Akisoma taarifa ya ujenzi wa mradi huo Bi.Crensia Pius Shine ambaye ni Mratibu wa TASAF Wilaya ya Monduli  amesema  " Shule ya Loorela yenye jumla ya wanafunzi 269 na walimu watatu  (3) imepata mradi  huo wa thamani ya  milioni 92.4 unaotekezwa na TASAF  awamu ya tatu na OPEC awamu ya nne kutokana na ombi la wananchi hao lililoibuliwa Oktoba 12, 2022 katika mkutano mkuu  maalum wa wananchi hao, ambapo wananchi wenyewe walikubaliana kuchangia  nguvu kazi pamoja na mawe, kokoto, Mchanga, Maji, pamoja na kulinda vifaa vyote vitakavyonunuliwa na kuhifadhiwa katika eneo lao."


Naye Bi.Happiness R.Laizer Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli ametoa Rai kwa wananchi kutunza vifaa vya ujenzi vizuri na hata ujenzi ukikamilika vitakavyobaki virudishwe ghalani kwa matumizi mengine baadae.

Ameongeza kusema kuwa kupatikana kwa  nyumba ya walimu kutaleta tija katika Shule yetu ya Loorela sambamba na kuimarisha utaratibu wa usalama wa Mali za  Serikali zilizopo shuleni hapo kutokana na uwepo walimu katika maeneo ya Shule kila wakati.

Kwa upande wake Ndg.Johnson Loleku Mwalimu Mkuu wa Shule ya Loorela amefurahishwa sana kupata mradi huu kwani jambo hili litapunguza adha ya walimu kutoka mbali kuja shuleni kuendelea na shughuli zao za ufundishaji.

Akisisitiza  Ujenzi huo, DC Kiswaga amempa fundi wa jengo hilo siku tisini (90) yaani miezi (3) kukamilisha ujenzi huo, huku akimtaka Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya  Monduli kufuatilia ujenzi huo na kuhakikisha ubora wake katika  ujenzi wa Msingi umwaga jamvi na hatua  nyingine za ujenzi zinazingatiwa na kwa viwango vilevile vya Serikali.

Akihitimisha DC Kiswaga amewaeleza wananchi kuwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameleta pesa nyingi Monduli hivyo tuhakikishe zinatumika kama zinavyokusudiwa kwa maendeleo ya wana Loorela Wilayani Monduli.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli