• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC KISWAGA ATATUA MGOGORO WA UGAWAJI WA MASHAMBA KIJIJI CHA TUKUSI PAMOJA NA MAPATO NA MATUMIZI YA UGAWAJI WA MASHAMBA.

Posted on: June 7th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe.Festo Kiswaga amehudhurua mkutano wa kutatua na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi wa kijiji cha Tukusi chenye vitongoji vitatu (3) Chemchem,Makao mapya na Nkweri kilichopo wilayani Monduli mapema leo tarehe 6.6.2024.


Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Tukusi DC Kiswagwa Mara baada ya kuwasikiliza wananchi pamoja na viongozi mbalimbali ngazi vijijiji ameeleza mbele ya wananchi kuwa "kwakuwa wote tuliridhia ugawaji wa mashamba uwe kwa watu (87) kwa kila kitongoji watu (27) mbele ya mkutano mkuu uliofanyika katika kijiji hiki basi nivyema wote tusikilizane nakueza kutatua mgogoro huu"


Kwa upande wa wenyekiti wa vitongoji vya Tukusi wameeleza kuwa makubaliano ya mkutano mkuu wa kijiji uliofanyika wananchi kutoka katika vitongoji vyote vitatu waliridhia kuwa kila mwananchi aliepitishwa kwenye mkutano huo na wajumbe hulipa sh.130,000 ili kupata eneo la shamba.


"Ukikosa mwenzako akipata sahihi sababu sio kila mwaka tutapata tunaenda kwa awamu na tuache swala la uchochezi usio na msingi,wameua viongozi waliopita acheni kusumbua wengine uku nikukosa madaraka,wazee tuwe na busara na sio kuchochea migogoro kwenye mikutano"amesema Lengere Lekoko mkazi wa Tukusi


Vivyohivyo pia wananchi wameelezwa mapato na matumizi ya ugawaji wa mashamba tsh.10,530,000 ambapo fedha hii wananchi 50 wametoa bado wananchi 30 mgawanyiko wa matumizi wa fedha ambazo zimekusanywa zimewekwa wazi ambapo Mhe.festo Kiswaga ametoa maelekezo kwa wanakijiji ambao bado awakutoa fedha hiyo watoe na mwisho wakutoa ni tarehe 30.6.2024.ili kuweka utaratibu na kuanza kujenga ofisi ya kijiji.


Akihitimisha mkutano huo mkuu wa wilaya ya Monduli amesema anahesabu mgogoro wa shamba umeisha nakutaka kusikia wananchi wanafanya maendeleo tu na sio kupishana.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli