• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC KISWAGA AKABIDHI PIKIPIKI KWA AJILI YA USAFI WA MAZINGIRA MONDULI

Posted on: November 22nd, 2024

Piki piki hizi tatu ninazowakabidhi Leo zitumike kwa kufanya majukumu mahususi yaliyokusudiwa na Serikali, ambayo ni kusimamia shughuli za usafi wa Mazingira katika Wilaya ya Monduli na si kwa matumizi binafsi Wala kwa matumizi ya biashara.

Hayo yamesemwa leo Novemba 22, 2024 na Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Festo S. Kiswaga alipokuwa akikabidhi Piki piki hizo kwa Maafisa Afya wa Kata za Makuyuni, Lolkisale na Mto wa Mbu katika  eneo la uwanja wa Halmashauri hiyo.

Katika tukio hilo, DC Kiswaga amesema " Maeneo ya pembezoni mwa barabara na maeneo ya magulio Kuna uchafu ama takataka nyingi ambazo si sawa kuwa katika maeneo hayo ambako zimetupwa ovyo kwa hiyo sasa kwakuwa tumepatiwa pikipiki hizi kwa ajili ya kusimamia shughuli za usafi hakikisheni kila eneo linafikiwa na kukaguliwa katika Kata zenu  ili kuboresha usafi wa Mazingira katika maeneo yote.

Sambamba na hilo DC Kiswaga  amesema kuwa uchafu ni chanzo cha mlipuko wa magonjwa hivyo tukiimarisha usafi katika Mazingira yetu tutakuwa tumeepuka magonjwa hayo. Hivyo kila mtu awe Kiranja wa mwenzake katika kuhakikisha hatutupi taka ovyo katika maeneo ya majumbani, kazini na katika maeneo ya biashara.

Akisoma taarifa ya usafi wa Mazingira wakati wa kukabidhi pikipiki hizo Bi. Happiness R. Laizer Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli amesema " Idara ya Afya kupitia sehemu ya afya Kinga imepewa jukumu la kuhakikisha wananchi wanaishi katika Mazingira bora safi na salama yanachochea afya na ustawi wa jamii.

Naye Ndg. Isaack Copriano Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli ametoa shukrani kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa pikipiki hizo huku akiwakumbusha watumishi wote kujitokeza kushiriki Uchaguzi ifikapo Novemba 27, 2024.

.Kwa upande wake Bi. Haika Benard Temba Afisa Afya Kata ya Mto wa Mbu kwa niaba ya wenzake waliokabidhiwa pikipiki hizo amesema kuwa kupata piki piki hizo kutaboresha zaidi utendaji  kazi wao kwa kuwa watakuwa wanakagua maeneo mengi kwa muda mfupi ikiwemo katika maeneo ya zahanati, masoko na minada na kuhakikisha usafi umeimarika.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli