• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Monduli District Council
Monduli District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Malengo
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Eneo la Utawala
      • Tarafa
      • Kata
      • Vijiji
    • Idara
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Idara ya Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwezekaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Onana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelezwa
  • Machapisho
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria ndogo
    • Mipango mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC KISWAGA AFUNGUA MAFUNZO YA KIJESHI OPARESHENI MIAKA 60 YA MUUNGANO -MAKUYUNI JKT

Posted on: April 16th, 2025

Nawaasa enyi Vijana wote mnaohitimu hivi leo, kuweni na matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwani vijana wengi mnapoteza muda mitandaoni bila faida yoyote, pia epukeni kudanganywa na makundi ya uharifu kwani kwa kufanya hivyo mtakuwa mmelisaliti Taifa lenu.

Hayo yamesemwa Aprili16, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Monduli Mhe. Festo Shem Kiswaga wakati akitoa hotuba katika hafla ya kufunga mafunzo ya vijana wa kujitolea wa Jeshi la kujenga Taifa(JKT)kikosi namba 839 yaliyoanza Desemba 24, 2025 kikosini hapo.

Akizungumza katika hafla hiyo Mhe. Kiswaga amewataka vijana hao kwenda kuyatumia vizuri mafunzo hayo waliyopata kikosini hapo kuimarisha amani ndani ya nchi yetu hasa tunapoelekea kipindi cha uchaguzi Mkuu unaotarajia kifanyika Oktoba, 2025.

Naye, Andrea Denis Lwanda Luteni Kanali ambaye ni Kamanda wa kikosi cha 839 Makuyuni; ameeleza kuwa lengo la mafunzo haya ni kuwafundisha vijana uzalendo pamoja na kuwajengea uwezo kwa kupata stadi za maisha zitakazowawezesha kuyakabili maisha baada ya mafunzo haya.

Kwa upande wake Kanali George Barongo Kazaula mwakilishi wa Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajab Mabele,

alisisitiza kuwa mafunzo haya ni mwendelezo wa maono ya Mwasisi wa Taifa hili, Mwalimu Julius Nyerere, ambaye aliweka Msingi wa kuwaandaa vijana kwa matumizi ya elimu waliyopata ili kuilinda na kuitetea nchi yao.

Aidha, Brigedia Jenerali Mwilambege Justas Kitta,l Mwakilishi wa Mkuu wa Majeshi Jenerali Jacob Mkunda alieleza kuwa mafunzo waliyopata vijana hao yana uwezo wa kumfanya kijana kuwa hodari, mwenye nidhamu, mzalendo, na ambaye yuko tayari kulitumikia taifa huku akipongeza  vijana  kwa kukubali kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa na kuzingatia mafunzo ya kijeshi kwa juhudi kubwa.

Hafla hiyo imeambatana na matukio mbalimbali ikiwemo maenesho ya kwata, singe, kufunga na kufungua silaha ngoma na muziki

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DC MONDULI AWAPONGEZA MADAKATRI BINGWA WA MAMA SAMIA

    May 17, 2025
  • ELIMU YA LISHE, AFYA NA MAZINGIRA PAMOJA NA MAGONJWA YALIYOKUWA HAYAPEWI KIPAUMBELE IENDELEE KUTOLEWA- MONDULI.

    May 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI ROBO YA 3

    May 14, 2025
  • MAMALISHE 30 WAPATIWA MAJIKO YA NISHATI SAFI -MONDULI

    May 14, 2025
  • Angalia zote

Maktaba ya Video

UFUNDISHAJI WA SOMO LA HISABATI KWA VITENDO KWA DARASA LA NNE SHULE YA MSINGI MAZOEZI
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • EDWARD MORINGE SOKOINE
  • TAARIFA YA UPANDAJI MITI
  • Historia ya Halmashauri ya Wilaya ya Monduli
  • Mto Wa Mbu - Monduli ilivyonufaika na Tsh. Milion 400

Viunganishi linganifu

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya ajira ya Serikali
  • Ofisi ya Rais utumishi na utawala bora
  • salary slip portal
  • Tanzania Safari Channel

Waliotembelea Kiulimwengu

world map hits counter

Idadi ya Waliotembelea

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Monduli District Council

    Sanduku la Posta: P.O BOX 1 Monduli

    Namba ya simu: +255 - 27- 2538006

    simu ya mkononi:

    Barua Pepe: ded@mondulidc.go.tz

Mawsilano Mengine

   

    • Sera Binafsi
    • Malalamiko
    • ramani ya eneo
    • Huduma zetu

Hatimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Monduli